Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI

Nguzo ya umeme ikiwa juu ya paa baada ya kuanguka leo huko Mkwajuni, Kinondoni. Mkazi wa jijini akipita jirani na nguzo hiyo iliyoanguka. Nguzo inavyoonekana kwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Zaidi ya nyumba 300 zakatiwa umeme Kinondoni

 

Shirika la Umeme Tanesco mkoa wa Kinondoni Kaskazini umezikatia umeme nyumba zaidi ya mia tatu zilizobainika kuhujumu miundombinu kwa kujiungia umeme kinyume cha sheria ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote.

Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wananchi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao..

 Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no; 63...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaangusha nguzo 35 za umeme

MVUA iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo ikiambatana na kimbunga, imeangusha nguzo 35 za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kusababisha ukosefu wa umeme kwa wilaya za Handeni na Kilindi, mkoani...

 

9 years ago

Global Publishers

Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa

1.Tingatinga-likiwa-kazini-kuvunja-nyumba-hizo-zilizodaiwa-kuwa-ndani-ya-hifadhi-ya-barabara.

Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa bomoabomoa inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Baadhi ya wananchi waliokubwa na kadhia hiyo wamepaza sauti zao juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakilalamika kuwa hawakupewa taarifa yoyote ya kuwataka wahame eneo hilo kutoka uongozi wa serikali ya mtaa huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nguzo za zege kuleta neema ya umeme

UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...

 

11 years ago

GPL

NGUZO ZA UMEME ZILIZOKAA KIHATARI KATIKA MITAA YA DAR

  Nguzo ya umeme ambayo imeinama kihatari maeneo ya Mbagala-Rangi Tatu japokuwa shirika la umeme nchini, Tanesco, halina habari na wapita njia wa eneo hilo pia hawakuwa na wasiwasi na jambo hilo. Nguzo ya taa za barabarani ikiwa imeinamia barabarani eneo la Msasani, jambo…

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme

Wataalam wa Sekta ya Umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), wakiongozwa na Kamishna Msaidizi wa Umeme Mhandisi Innocent Luoga (wa kwanza kushoto), wakiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Kampuni ya Sunshine Group Ltd (Kulia). Mazungumzo yalifanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam na yalihusu uanzishwaji wa Kiwanda cha kutengeneza nguzo za umeme za zege kwa ajili ya kusambaza umeme nchini.Ujumbe kutoka Kampuni ya...

 

10 years ago

Michuzi

Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL

 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi (Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL. Wakishuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya IPTL. 
 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani: Lipieni tujue idadi ya wateja tusambaze nguzo tuwawashie umeme!




Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ( kulia) akiwasha umeme katika Kijiji cha Bugwego Kata ya Bwongera, wilayani Chato mkoani Geita alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(kushoto),akizungumza na mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Rusungwa Kata ya Nyamirembe,Wilayani Chato,mkoani Geita baada ya kuwasha umeme katika nyumba yake alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wananchi wazuia usimikaji wa nguzo za minara ya umeme wa 400KV, Msigiri Iramba, hawajalipwa fidia

KIJKO

Kijiko cha kampuni inayojenga nguzo za umeme za 400KV kutoka Shinyanga – Singida (KEC) kikifukia mashimbo ambayo tayari yalikuwayamechimbwa kwa ajili ya kusimika minara katika kijiji cha Misigiri Kata ya Ulemo Wilayani Iramba, kutokana na wananchi 17 kutolipwa fidia za mashamba yao na shirika la ugavi wa umeme TANESCO.

MHINDI

Mfanyakazi wa Kampuni ya KEC wakishangaa eneo la Site iliyozuiwa kusimikwa minara na wananchi wa kijiji cha Misigiri.

MWKT

Mwenyekiti wa kijiji cha Misigiri Nelson Kiula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani