Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya nyumba 300 zakatiwa umeme Kinondoni

 

Shirika la Umeme Tanesco mkoa wa Kinondoni Kaskazini umezikatia umeme nyumba zaidi ya mia tatu zilizobainika kuhujumu miundombinu kwa kujiungia umeme kinyume cha sheria ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote.

Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wananchi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao..

 Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no; 63...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI

Nguzo ya umeme ikiwa juu ya paa baada ya kuanguka leo huko Mkwajuni, Kinondoni. Mkazi wa jijini akipita jirani na nguzo hiyo iliyoanguka. Nguzo inavyoonekana kwa…

 

10 years ago

Habarileo

Nyumba zaidi ya milioni moja kupatiwa umeme jua

Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Lutengano MwakahesyaTANZANIA imeingia katika mpango wa kutumia umeme jua ujulikanao kama One Milion Solar Homes, wenye lengo la kuzipatia nyumba milioni moja huduma ya umeme wa uhakika na salama kufikia 2017.

 

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x


Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani(wa kwanza) akizungumza na Bi Restuta Willbad wakati alipokwenda kukagua nyumba ya mwanakijiji huyo wa kijiji cha Isamilo, Wilaya ya Misungwi,Mkoani Mwanza,Moja ya Nyumba ambayo Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani ameikagua ambayo ipo katika kijiji cha Usagara Wilaya ya Misungwi,Mkoani MwanzaWaziri wa Nishati,Dkt Medard...

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya

NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba

Mvua ya mawe iliyonyesha jana alasiri katika Kijiji cha Isansa, Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kwa zaidi ya dakika 40, imeezua mabati ya nyumba na kuharibu zaidi ya ekari 300 za mashamba.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS waua zaidi ya watu 300 Iraq

Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabishara zaidi ya 300 Tanga kuongezewa mitaji

Wafanyabishara wadogo na wa kati zaidi ya 300 waliopo katika wilaya mbalimbali mkoani tanga wanatarajiwa kuongezewa mitaji ili kufanya shughuli zao kwa ufanisi na kuchangia pato la Taifa.

Akizungumza wakati wa zoezi la kutoa elimu ya biashara kwa wafanyabishara wadogo na wakati linaloendelea mkoani tanga na kuratibiwa na kampuni ya simu za mikononi ya airtel chini ya mpango wa ”airtel fursa”meneja wa airtel mkoa wa tanga bwana ruta kweka amesema lengo hasa ni kutaka kuwakwamua wafanyabishara...

 

9 years ago

GPL

MAWAKALA ZAIDI YA 300 MWANZA WAWEZESHWA KUPATA MIKOPO

Afisa Masoko wa Airtel kanda ya ziwa akiongea na mawakali mara baada ya kuendesha semina inayowapatia fursa Mawakala wa Airtel Money nchi nzima kupata mikopo kupitia simu zao za mkononi. Wakala wa Airtel Money katika maeneo ya Metro Mwanza, Bwana John Hainga akichangia mada wakati wa semina ya mawakala inayowapatia fursa ya kupata mikopo isiyo na dhamana ijulikanayo kama Timiza Mikopo kwa Mawakala Kampuni ya simu za mkononi...

 

11 years ago

CloudsFM

SHAROBARO MUSIC YAMWINGIZIA BOB JR ZAIDI YA MILIONI 300

STAA wa Bongo Fleva,mbaye ni mmliki wa studio ya Sharobaro records,Bob Junior hivi karibuni aliandaa sherehe ya miaka 8 tangu kuanzishwa kwa studio yake ambayo ilianzishwa chini ya wasanii watatu ambao ni Bob Junior mwenyewe, Ally Kiba na Hakeem 5, kama unakumbuka studio hiyo ilihusika kutengeneza album ya kwanza ya Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz, album ya kwanza ya msanii Top C na studio hiyo pia imetoa wasanii kibao.

Bob Junior amefunguka mengi ikiwemo changamoto alizopitia kwa miaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani