Zaidi ya nyumba 300 zakatiwa umeme Kinondoni
Shirika la Umeme Tanesco mkoa wa Kinondoni Kaskazini umezikatia umeme nyumba zaidi ya mia tatu zilizobainika kuhujumu miundombinu kwa kujiungia umeme kinyume cha sheria ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote.
Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wananchi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao..
Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no; 63...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLNGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI
10 years ago
Habarileo16 Feb
Nyumba zaidi ya milioni moja kupatiwa umeme jua
TANZANIA imeingia katika mpango wa kutumia umeme jua ujulikanao kama One Milion Solar Homes, wenye lengo la kuzipatia nyumba milioni moja huduma ya umeme wa uhakika na salama kufikia 2017.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Apr
Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya
NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
IS waua zaidi ya watu 300 Iraq
9 years ago
StarTV16 Nov
Wafanyabishara zaidi ya 300 Tanga kuongezewa mitaji
Wafanyabishara wadogo na wa kati zaidi ya 300 waliopo katika wilaya mbalimbali mkoani tanga wanatarajiwa kuongezewa mitaji ili kufanya shughuli zao kwa ufanisi na kuchangia pato la Taifa.
Akizungumza wakati wa zoezi la kutoa elimu ya biashara kwa wafanyabishara wadogo na wakati linaloendelea mkoani tanga na kuratibiwa na kampuni ya simu za mikononi ya airtel chini ya mpango wa ”airtel fursa”meneja wa airtel mkoa wa tanga bwana ruta kweka amesema lengo hasa ni kutaka kuwakwamua wafanyabishara...
9 years ago
GPLMAWAKALA ZAIDI YA 300 MWANZA WAWEZESHWA KUPATA MIKOPO
11 years ago
CloudsFM05 Aug
SHAROBARO MUSIC YAMWINGIZIA BOB JR ZAIDI YA MILIONI 300
STAA wa Bongo Fleva,mbaye ni mmliki wa studio ya Sharobaro records,Bob Junior hivi karibuni aliandaa sherehe ya miaka 8 tangu kuanzishwa kwa studio yake ambayo ilianzishwa chini ya wasanii watatu ambao ni Bob Junior mwenyewe, Ally Kiba na Hakeem 5, kama unakumbuka studio hiyo ilihusika kutengeneza album ya kwanza ya Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz, album ya kwanza ya msanii Top C na studio hiyo pia imetoa wasanii kibao.