Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
Mvua ya mawe iliyonyesha jana alasiri katika Kijiji cha Isansa, Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kwa zaidi ya dakika 40, imeezua mabati ya nyumba na kuharibu zaidi ya ekari 300 za mashamba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mvua kubwa zaaribu zaidi ya ekari 10 za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida!!
Vifaa vya kufungua maji ili yaweze kusambazwa katika vito vya kusambazia maji ili wananhi waweze kuanza kunufaika na mradi huo ambao mpaka sasa haijulikani huduma hiyo itaanza kutolewa lini maana mkandarasi licha ya mkandarasi kutomaliza kazi,vile vile hajulikani alipokwenda.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na,Jumbe Ismailly,
[SINGIDA] Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Singida zimeharibu zaidi ya ekari kumi za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida kufuatia...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya
NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.
9 years ago
Michuzi10 Sep
EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925 hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mvua yaharibu miundombinu reli
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaharibu barabara Tanga
11 years ago
GPLMVUA YAHARIBU MIUNDOMBINU YA WAMACHINGA
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Mvua yaharibu mazao ya Sh5 mil
9 years ago
Habarileo16 Sep
Mafuriko Nyumba ya Mungu yasomba ekari 20
ZAIDI ya ekari 20 za mazao ya aina mbalimbali, ikiwamo vitunguu na mahindi pamoja na nyumba ambazo idadi yake haijulikani katika vijiji vya Jitengeni na Mvungwe wilayani Same, zimeharibiwa na mafuriko kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu.