EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.
SERIKALI imetwaa jumla ya Ekari 7000 baada ya ubatilishwaji wa Mashamba ya Tanzania plantatition limited yaliyokua yakimilikiwa na mwekezaji kutoka nje ,mashamba hayo yanatajiwa kugawanywa kwa wananchi 2000 wenye uhitaji wa ardhi ya makazi na mashamba .
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925 hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mvua kubwa zaaribu zaidi ya ekari 10 za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida!!
Vifaa vya kufungua maji ili yaweze kusambazwa katika vito vya kusambazia maji ili wananhi waweze kuanza kunufaika na mradi huo ambao mpaka sasa haijulikani huduma hiyo itaanza kutolewa lini maana mkandarasi licha ya mkandarasi kutomaliza kazi,vile vile hajulikani alipokwenda.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na,Jumbe Ismailly,
[SINGIDA] Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Singida zimeharibu zaidi ya ekari kumi za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida kufuatia...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Mwekezaji Kapunga Rice anatukodisha mashamba-Wananchi
10 years ago
StarTV15 Sep
Wananchi kurejeshewa mashamba ACT wakiingia madarakani
Katika harakati za kampeni zinazoendelea kote nchini za kutafuta Rais wabunge pamoja na madiwani vyama mbalimbali vya kiasiasa vinavyotafuta uongozi kupita kwa wagombea wake vimezidi kutoa sera zao kuomba kura kwa wananchi ambapo chama cha ACT wazalendo kimesema kitarejesha ardhi kwa wananchi.
Mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo Anna Mgwila ameahidi kuwa endapo atachaguliwa atahakikisha anayarudisha kwa wananchi mashamba yote ambayo Serikali iliwapa wawekezaji na kuwasababishia...
10 years ago
GPL
KOROGWE VIJIJINI WANANCHI: TUPEWE MASHAMBA YA MKONGE TUYAENDELEZE
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ekari 10 zachukuliwa na mradi wa gesi kwa Sh300,000 tu