Mvua kubwa zaaribu zaidi ya ekari 10 za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida!!
Vifaa vya kufungua maji ili yaweze kusambazwa katika vito vya kusambazia maji ili wananhi waweze kuanza kunufaika na mradi huo ambao mpaka sasa haijulikani huduma hiyo itaanza kutolewa lini maana mkandarasi licha ya mkandarasi kutomaliza kazi,vile vile hajulikani alipokwenda.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na,Jumbe Ismailly,
[SINGIDA] Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Singida zimeharibu zaidi ya ekari kumi za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida kufuatia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
9 years ago
Michuzi10 Sep
EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925 hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Halmashauri Mkoa na Manispaa Singida zadaiwa zaidi shilingi 6.3 bilioni na wakandarasi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.
Na Nathaniel Limu, Singida
SEKRETARIETI ya Mkoa na Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zinadaiwa na wakandarasi,wazabuni na watumishi wa umma zaidi ya shilingi 6.3 bilioni hadi novemba mwaka jana.
Madeni hayo yameainishwa kwenye taarifa ya madeni ya mkoa wa Singida iliyotolewa mbele ya kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.
Taarifa hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aBi951nol0k/Xm4RlPj-jHI/AAAAAAALjuo/kG-4wDbQq4kE2guLZVJtuYCC-S8DLLcYQCLcBGAsYHQ/s72-c/ddee7d2b-2b1e-4aa9-a252-3c78338b74b7.jpg)
WAZIRI BITEKO AWARUHUSU WAKAZI KIJIJI CHA MUNDINDI,LUDEWA KUENDELEZA MASHAMBA YAO KWA KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI
Hayo ameyasema alipotembelea mradi wa liganga uliopo mkoani humo baada ya wakazi wa kijiji hicho kulalamika kuwa wanazuiliwa kulima mashamba yao pasipo kulipwa fidia yoyote kitu ambacho kinawarudisha nyuma kimaendeleo.
Wananchi hao wandai kuwa walikubali kupisha mradi...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu
Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu
Na Nathaniel Limu
Serikali kuu imeipatia msaada halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.
Hayo yamesemwa juzi na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hmnaTAEAnfo/VUKpsyAlXJI/AAAAAAAHUaY/S7XeisBKi2A/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
siku ya wakulima kijiji cha Laela wilaya ya Sumbawanga
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uvHxqoMJgsk/VbpDBV3TBFI/AAAAAAAHswc/zbvFi2x0vVc/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Balozi Seif azungumza na Wananchi wa Kijiji cha Kiomba Mvua, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-uvHxqoMJgsk/VbpDBV3TBFI/AAAAAAAHswc/zbvFi2x0vVc/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Alisema yeye bado anaendelea kuwa Kiongozi wa Jimbo hilo kwa vile jukumu la kuwatumikia Wananchi wa Maeneo hayo uko mikononi mwake na wala hafanyi kampeni kwa mujibu wa kanuni kwa...
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Chama cha Mapinduzi chazoa viti vyote serikali za mitaa manispaa ya Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijijini manispaa ya Singida. (picha na maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) manispaa ya Singida,imeibuka kidedea baada ya kuzoa nafasi zote 50 za uenyeviti wa mitaa, sawa na aslimia mia moja kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika juzi.
Hayo yamesemwa na msimamiziwa uchaguzi huo manispaa ya Singida, Joseph Mchina,wakati...