Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri Mkoa na Manispaa Singida zadaiwa zaidi shilingi 6.3 bilioni na wakandarasi

Waziri Mkuu Akiongea na Waandishi wa Habari 2

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.

Na Nathaniel Limu, Singida

SEKRETARIETI ya Mkoa na Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zinadaiwa na wakandarasi,wazabuni na watumishi wa umma zaidi ya shilingi 6.3 bilioni hadi novemba mwaka jana.

Madeni hayo yameainishwa kwenye taarifa ya madeni ya mkoa wa Singida iliyotolewa mbele ya kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.

Taarifa hiyo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yatoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kujenga hospitali ya rufaa Singida

DSC_0473

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida  kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi 6.7 bilioni kwa...

 

11 years ago

GPL

SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA‏

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, wakati Kinana alipokuwa Mkoani Singida kwa ziara ya kikazi ya siku saba. Katibu Mkuu wa CCM akiweka saini kwenye kitabu cha hospitali ya Rufaa huku Naibu Katibu Mkuu wake Mwigulu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu

DSC06161Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu

Na Nathaniel Limu

Serikali kuu imeipatia msaada  halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.

Hayo yamesemwa juzi  na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida

IMG_1128

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Martha Mosses Mlata, akishiriki kutekeleza agizo ya rais Dk. John Pombe Magufuli la Watanzania wote kufanya usafi katika maeneo yao, kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54, kwa kufanya usafi kwenye chuo cha wasioona cha mjini hapa. Pamoja na kufanya usafi chuoni hapo, Mlata alitoa msaada wa vifaa mbalimbali ikiwemo viti vya plastiki 150.Thamani ya msaada huo, ni zaidi ya shilingi 6.3  milioni. IMG_1124 IMG_1132 IMG_1142 Mbunge wa viti maalum...

 

5 years ago

Michuzi

Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida

Muonekano wa taa katika barabara yakuingia mjini Singida kama ilivyokutwa Machi 27, 2020 baada ya kutekelezwa kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mji huo.
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya manispaa ya Singida yaweka taa kandokanodo ya barabara zake kuimarisha ulinzi

DSC00245

Halmashauri ya manispaa ya Singida, yaweka taa kando kando ya barabara zake katika kuimarisha ulinzi na kupendezesha mji.

Taa hizo ambazo katika awamu ya kwanza zimewekwa kwenye barabara ya Arusha inayoanzia Bomani hadi nyumba za kulala ya Victoria karibu na Mwenge sekondari na ile ya Karume Arusha, zote zikiwa na urefu wa kilometa 2.720.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri ya manispaa ya Singida, imeweka taa kando kando ya barabara zake za mjini Singida zenye...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.Meneja wa Wakala wa Barabara-TANROADS Mkoa wa Dodoma mhandisi Leonard Chimagu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya barabara inayotekelezwa na TANROADS...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida

DSC03668

Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa  maombi maalum...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tiper yaikabidhi Serikali gawio la zaidi ya shilingi bilioni 1

DIGITAL CAMERA

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia).

Serikali imepokea shilingi bilioni moja kutoka TIPER ikiwa ni gawio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani