Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida

Muonekano wa taa katika barabara yakuingia mjini Singida kama ilivyokutwa Machi 27, 2020 baada ya kutekelezwa kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mji huo.
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri Mkoa na Manispaa Singida zadaiwa zaidi shilingi 6.3 bilioni na wakandarasi

Waziri Mkuu Akiongea na Waandishi wa Habari 2

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.

Na Nathaniel Limu, Singida

SEKRETARIETI ya Mkoa na Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zinadaiwa na wakandarasi,wazabuni na watumishi wa umma zaidi ya shilingi 6.3 bilioni hadi novemba mwaka jana.

Madeni hayo yameainishwa kwenye taarifa ya madeni ya mkoa wa Singida iliyotolewa mbele ya kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.

Taarifa hiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya manispaa ya Singida yaweka taa kandokanodo ya barabara zake kuimarisha ulinzi

DSC00245

Halmashauri ya manispaa ya Singida, yaweka taa kando kando ya barabara zake katika kuimarisha ulinzi na kupendezesha mji.

Taa hizo ambazo katika awamu ya kwanza zimewekwa kwenye barabara ya Arusha inayoanzia Bomani hadi nyumba za kulala ya Victoria karibu na Mwenge sekondari na ile ya Karume Arusha, zote zikiwa na urefu wa kilometa 2.720.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri ya manispaa ya Singida, imeweka taa kando kando ya barabara zake za mjini Singida zenye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida

IMG_1128

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Martha Mosses Mlata, akishiriki kutekeleza agizo ya rais Dk. John Pombe Magufuli la Watanzania wote kufanya usafi katika maeneo yao, kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54, kwa kufanya usafi kwenye chuo cha wasioona cha mjini hapa. Pamoja na kufanya usafi chuoni hapo, Mlata alitoa msaada wa vifaa mbalimbali ikiwemo viti vya plastiki 150.Thamani ya msaada huo, ni zaidi ya shilingi 6.3  milioni. IMG_1124 IMG_1132 IMG_1142 Mbunge wa viti maalum...

 

10 years ago

Michuzi

MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imepitisha Bajeti ya shilingi bilioni 50.1 kwa mwaka 2015/2016 ikiwa ni mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Manispaa hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-

DSC03680

Mstahiki meya wa manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akifunga kikao maalum kilichopitisha mapendekezo ya bajeti ya zaidi ya shilingi 32.2 bilioni kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa katoliki mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina na kushoto ni makamu meya manispaa ya Singida, Hassan Mkata.(Picha zote na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato  kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

CWT MANISPAA YA SINGIDA CHAPATA VIONGOZI WAPYA

Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Walimu (CWT ) Manispaa ya Singida, Hamis Mtundua, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.Mwenyekiti  wa Chama cha Walimu (CWT ) Manispaa ya Singida, Kitengo (KE), Yasinta Makiya, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.
Wajumbe wa mkutano mkuu wa CWT ndani ya Manispaa ya Singida wilayani hapa wakiwa kwenye mkutano huo.Baadhi ya viongozi wapya wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya...

 

5 years ago

Michuzi

BILIONI 2.2 ZAREJESHA USAFIRI WA KIVUKO KWA WANANCHI WA KITUNDA NA MANISPAA YA LINDI



Kivuko cha M.V Kitunda kikiendelea kutoa huduma za usafiri wa abiria, mizigo na magari katika Manispaa ya Lindi kama kilivyokutwa na kamera ya Idara ya Habari MAELEZO hivi karibuni.
Na Mwandishi WetuSEKTA ya Uchukuzi inatoa mchango mkubwa katika shughuli za maendeleo ya uchumi na pia ni mwezeshaji mkubwa wa sekta za uzalishaji, biashara na usambazaji wa bidhaa na huduma katika soko la kitaifa na kimataifa.
Usafirishaji wa bidhaa na huduma katika masoko, hutegemea zaidi mfumo wa uchukuzi wenye...

 

5 years ago

Michuzi

BILIONI 32/- ZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO ZILIVYOREJESHA HUDUMA YA MAJI MANISPAA YA LINDI










Sehemu mbalimbali za eneo la Mradi wa Maji Ng’apa katika Manispaa ya Lindi ukiwa katika utekelezaji kama ilivyokutwa na kamera ya Idara ya Habari (MAELEZO) wakati wa ziara ya timu ya Maafisa Habari waliotembelea mradi huo hivi karibuni Mkoani Lindi.

Picha na MAELEZO.

………………………………………………………………………………….

Na Mwandishi Wetu,MAELEZO

DAR ES SALAAM

AZIMIO namba 64/292 la mwaka 2010 la Umoja wa Mataifa linatamka kuwa huduma ya maji na usafi wa mazingira ni haki ya msingi ya binadamu na pia ni hitaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani