MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imepitisha Bajeti ya shilingi bilioni 50.1 kwa mwaka 2015/2016 ikiwa ni mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Manispaa hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALI MBALI

Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha ...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Bagamoyo yapitisha bajeti bil. 45/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bagamoyo inatarajia kukusanya sh bilioni 45 katika mwaka wa fedha wa 2014/ 2015 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato. Taarifa hiyo iliwasilishwa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi...
11 years ago
Habarileo08 May
Kamati yapitisha bajeti ya Ujenzi
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka ujao wa fedha 2014/2015, ya Sh trilioni 1.2, fedha zilizoelekezwa katika matumizi ya kawaida na ya maendeleo katika wizara hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kampuni yaigomea Manispaa Kinondoni
MGOGORO wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, kugawa eneo la Barabara ya Keko, Mikocheni ‘A’, Mtaa wa Tindiga kwa Kampuni ya Trans Auto Express Ltd, umeingia katika sura mpya....
11 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Manispaa Kinondoni yainunua Tesema FC
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni,imekuwa manispaa ya kwanza kwa jiji la Dar es Salaam kumiliki timu ya Daraja la Kwanza, baada ya kuinunu timu ya soka ya Tesema. Hatua hiyo...
11 years ago
GPLMANISPAA YA KINONDONI YAVUNJA VIBANDA-MWENGE
9 years ago
MichuziTAARIFA YA UBOMOAJI WA NYUMBA MANISPAA YA KINONDONI