Kamati yapitisha bajeti ya Ujenzi
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka ujao wa fedha 2014/2015, ya Sh trilioni 1.2, fedha zilizoelekezwa katika matumizi ya kawaida na ya maendeleo katika wizara hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Bagamoyo yapitisha bajeti bil. 45/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bagamoyo inatarajia kukusanya sh bilioni 45 katika mwaka wa fedha wa 2014/ 2015 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato. Taarifa hiyo iliwasilishwa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JsctNEDJJBw/VOm5M3EKaRI/AAAAAAAHFKo/emkuBjHSgXY/s72-c/001.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WuFgS_PNUb4/VBbjSbtBfPI/AAAAAAAGjyQ/ixKCTBJvF5I/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
KAMATI YA SHERIA YAPITISHA USAJILI WA WACHEZAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-WuFgS_PNUb4/VBbjSbtBfPI/AAAAAAAGjyQ/ixKCTBJvF5I/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Kasoro hizo ni kufikia makubaliano na klabu ambazo wachezaji husika wametoka, kuwafanyia uhamisho (transfer) na kulipa ada za uhamisho. Kamati vilevile ilibaini wachezaji wengi hawakufanyiwa uhamisho kama kanuni za ligi hizo zinavyoelekeza.
Hivyo, klabu...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/CCM-1.jpg)
KAMATI KUU CCM YAPITISHA MAJINA 3 YA USPIKA
9 years ago
StarTV16 Nov
Kamati kuu CCM yapitisha majina matatu kati ya 21
Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM imepitisha majina matatu kati ya 21 ya wagombea waliojitokeza kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea kiti cha Spika katika Bunge la 11.
Kikao hicho cha kamati kuu kimeongozwa na mwenyekiti wa chama hicho taifa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma.
katika uwanja wa ndege wa Dodoma mwenyekiti Taifa wa chama cha mapinduzi CCM ambaye ni rais mstafuu Dk. Jakaya mrisho Kikwete akiwasili na kulakiwa na baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho...
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo