Bagamoyo yapitisha bajeti bil. 45/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bagamoyo inatarajia kukusanya sh bilioni 45 katika mwaka wa fedha wa 2014/ 2015 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato. Taarifa hiyo iliwasilishwa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
11 years ago
Habarileo08 May
Kamati yapitisha bajeti ya Ujenzi
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka ujao wa fedha 2014/2015, ya Sh trilioni 1.2, fedha zilizoelekezwa katika matumizi ya kawaida na ya maendeleo katika wizara hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JsctNEDJJBw/VOm5M3EKaRI/AAAAAAAHFKo/emkuBjHSgXY/s72-c/001.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S_-pzPsU1ls/UwNeQQhc8_I/AAAAAAAALAQ/CkNLKB5_0jY/s72-c/kinondoni.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALI MBALI
![](http://3.bp.blogspot.com/-S_-pzPsU1ls/UwNeQQhc8_I/AAAAAAAALAQ/CkNLKB5_0jY/s1600/kinondoni.jpg)
Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha ...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Singida yatenga bajeti bil. 31/-
HALMASHAURI ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia sh bilioni 31.7 katika bajeti yake ya mwaka wa fedha wa 2014/2015. Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Deus Luziga, alibainsha hayo alipokuwa akitoa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Halmashauri yaomba bajeti ya bil. 35/-
BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora limeomba kuidhinishiwa kiasi cha sh 35,455,837,199 kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015. Akisoma taarifa ya bajeti hiyo, Kaimu Ofisa...
9 years ago
Habarileo12 Sep
Waliopisha EPZA Bagamoyo kulipwa bil 40/-
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewahakikishia wananchi wa Bagamoyo mkoani Pwani kuwa, kitakapoingia madarakani lazima kilipe deni la Sh bilioni 40 kwa waliokubali kupisha Mradi Maalumu wa Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA).
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...