Halmashauri yaomba bajeti ya bil. 35/-
BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora limeomba kuidhinishiwa kiasi cha sh 35,455,837,199 kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015. Akisoma taarifa ya bajeti hiyo, Kaimu Ofisa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Halmashauri Ushetu yapitisha bajeti bil. 32/-
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga limepitisha mapendekezo ya mpango wa bajeti ya sh bilioni 32.5 kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Akisoma mapendekezo...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Esaff yaomba bajeti zaidi
JUMUIYA ya Wakulima wadogo kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Esaff), umeziomba serikali za Afrika kuiongezea bajeti sekta ya kilimo ili kutokomeza njaa. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GIOncMvpFbc/Xnn4ZAZxLjI/AAAAAAAAIv4/iGK9EwkqUSMgrr0hvYpbWJ1TXNvcfjDmwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200323_111814_755.jpg)
ARUSHA YAOMBA KUIDHINISHIWA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA BILION 298.0/=
![](https://1.bp.blogspot.com/-GIOncMvpFbc/Xnn4ZAZxLjI/AAAAAAAAIv4/iGK9EwkqUSMgrr0hvYpbWJ1TXNvcfjDmwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200323_111814_755.jpg)
Kaimu Mkuu wa mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Monduli Idd Kimanta akiongoza kikao cha sekretariet ya mkoa huo iliyofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha na Ahmed Mahamoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-CFYyIiv0OKQ/Xnn4ck3EdyI/AAAAAAAAIv8/347_9Dyf3V4yPb8tEkleO7jUeTZreBy3ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200323_111851_919.jpg)
Wajumbe wa sekretarieti ya mkoa wa Arusha wakifuatilia hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa kikao hicho Dc Idd Kimanta kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro aliyeinamisha kichwa Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Mahongo na Afisa wa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Singida yatenga bajeti bil. 31/-
HALMASHAURI ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia sh bilioni 31.7 katika bajeti yake ya mwaka wa fedha wa 2014/2015. Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Deus Luziga, alibainsha hayo alipokuwa akitoa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Bagamoyo yapitisha bajeti bil. 45/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bagamoyo inatarajia kukusanya sh bilioni 45 katika mwaka wa fedha wa 2014/ 2015 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato. Taarifa hiyo iliwasilishwa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-
Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...
11 years ago
Habarileo10 Jul
Rais azindua jengo la halmashauri la bil 2/-
RAIS Jakaya Kikwete jana amezindua Jengo la ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Kilindi lililogharimu zaidi ya Sh bilioni mbili hadi kukamilika kwake.
11 years ago
Habarileo14 Jun
Halmashauri 80 kuvuna bil. 40/- nyumba za walimu
SERIKALI inatarajiwa kutoa Sh bilioni 40 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu katika halmashauri 80 nchini, sawa na Sh Sh milioni 500 kwa kila halmashauri. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya aliposoma Hotuba ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Asilimia 20 ya bajeti hupotelea halmashauri