Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Esaff yaomba bajeti zaidi

JUMUIYA ya Wakulima wadogo kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Esaff), umeziomba serikali za Afrika kuiongezea bajeti sekta ya kilimo ili kutokomeza njaa. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri yaomba bajeti ya bil. 35/-

BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora limeomba kuidhinishiwa kiasi cha sh 35,455,837,199 kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015. Akisoma taarifa ya bajeti hiyo, Kaimu Ofisa...

 

5 years ago

Michuzi

ARUSHA YAOMBA KUIDHINISHIWA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA BILION 298.0/=



Kaimu Mkuu wa mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Monduli Idd Kimanta akiongoza kikao cha sekretariet ya mkoa huo iliyofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha na Ahmed Mahamoud Arusha
Wajumbe wa sekretarieti ya mkoa wa Arusha wakifuatilia hotuba ya Kaimu Mwenyekiti wa kikao hicho Dc Idd Kimanta kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro aliyeinamisha kichwa Mkuu wa wilaya ya Karatu Theresia Mahongo na Afisa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamlaka ya Nepal yaomba usaidizi zaidi

Mamlaka ya Nepal imeomba msaada zaidi wa helikopta kutoka kwa mataifa ya kigeni

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanzania yaomba madaktari zaidi kutoka China

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Imekuwa inapokea madaktari kutoka China kwa miaka 46

-Yashukuru kwa kujengewa Hospitali ya magonjwa ya moyo Muhimbili

Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.

Aidha, Tanzania imeishukuru China kwa kujenga hospitali kubwa inayoweza kulaza wagonjwa 100 kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge lahaha kusaka muda zaidi wa Bajeti

>Bunge la Bajeti la mwaka wa fedha wa 2014/15 linatarajia kufanya vikao vyake hadi saa mbili usiku pamoja na siku za Jumamosi ikiwa ni moja ya njia za kufidia siku 28 zilizopunguzwa kufanya vikao hivyo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Bajeti ijikite zaidi maendeleo ya sayansi, teknolojia’

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwekeza zaidi na kuongeza bajeti katika eneo la maendeleo ya sayansi, teknolojia, ubunifu na utafiti ili kuharakisha maendeleo nchini na jitihada za kupunguza umasikini.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa

>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yatangaza kutenga bajeti zaidi kwenye tafiti za afya.

 Naibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi, Mh. Anne Kilango  akisisitiza jambo  mbele ya  Madaktari na wanafunzi wa udaktari kutoka Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) waliohudhuria Mkutano Mkuu wa tatu wa sayansi ya afya ulioandaliwa na chuo hicho  jijini Dar es Salaam jana. Kwenye mkutano huo wa siku mbili huku ukilenga  kujadili masuala ya tafiti kwenye sayansi ya afya, Mh. Kilango alimuwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr...

 

10 years ago

Bongo5

The CEO: Filamu inayofanyika kwenye nchi zaidi ya tano Afrika, bajeti yake ni dola milioni 1

Kwa miaka mingi filamu za Afrika zimekuwa zikitumia bajeti ndogo kutokana na uchumi. Hata Nollywood ambao kiwanda chao kinadaiwa kuwa na thamani ya dola bilioni 4.3 au asilimia 1.2 la pato la taifa, bado imeendelea kuwa na filamu za kawaida. Hata hivyo kuna filamu iliyopo kwenye hatua za utengenezaji iitwayo ‘The CEO’ inaweza kuja kuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani