Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Bajeti ijikite zaidi maendeleo ya sayansi, teknolojia’

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwekeza zaidi na kuongeza bajeti katika eneo la maendeleo ya sayansi, teknolojia, ubunifu na utafiti ili kuharakisha maendeleo nchini na jitihada za kupunguza umasikini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu sayansi na teknolojia kwa maendeleo ya nchi

VIJANA nchini hawana budi kupenda kujifunza masomo ya sayansi na teknolojia, ili waweze kupata ujuzi na mitazamo katika sekta ya gesi ambayo inakuwa kwa kasi kubwa nchini na duniani kwa...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI

 Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.  Baadhi wa Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni rasmi katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wanasayansi Vijana wakifuatilia mada wakati wa mkutano wa tatu wa Wanasayansi Vijana Duniani wenye lengo la kuhakikisha...

 

5 years ago

Michuzi

MAAFISA MAWASILIANO WA WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - MAEKANI

 Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha (DVC(AF) Prof. Ernest Kihanga akitoa ufafanuzi kwa Maafisa Mawasiliano wa Wizara ya Elimu, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa, mradi mpya ambao unahusisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, kumbi za mikutano na ofisi za watumishi, eneo la Maekani Chuo Kikuu Mzumbe.  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha (DVC(AF) Prof. Ernest Kihanga akitoa  maelezo kwa Maafisa Mawasiliano wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  kuhusu ujenzi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA ijikite zaidi kwenye elimu ya uraia

KUNA  usemi wa kwamba kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo. Usemi huo umejidhihirisha kwa kauli ya mama mmoja aliye kwenye kundi la Wanaukawa. Mama huyo aliyekuwa kwenye maongezi ya...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Serikali itawekeza katika sayansi, teknolojia

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali yake imedhamiria kwa dhati kuwekeza katika masomo ya sayansi na teknolojia, kwani hiyo ndio siri kubwa ya maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Sefue asisitiza matumizi ya sayansi, teknolojia

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni SefueKATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ili nchi iweze kuendelea ni lazima iwekeze katika sayansi, teknolojia na ubunifu na kuhamasisha vijana kuwa wavumbuzi wa mambo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tutajuta tusipowekeza katika sayansi, teknolojia

Jana tulichapisha habari kuhusu madaktari katika Chuo cha Tiba cha Amrita, nchini India ambao wamefanikiwa kufanya upasuaji wa aina yake wa kupandikiza mikono mipya kwa binadamu aliyekatika viungo hivyo. Upandikizaji huo ambao umefanyika kwa mara ya kwanza nchini humo ulimhusu mwanamume mwenye umri wa miaka 30, aliyekatika mikono katika ajali ya treni. Mikono hiyo mipya ilichukuliwa kutoka kwa kijana mwenye umri wa miaka 24 aliyefariki katika ajali ya gari.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenzetu wameendelea kwa kujali sayansi na teknolojia

Matumizi ya sayansi na teknolojia katika sekta mbalimbali za maendeleo ni muhimu ili kuliwezesha taifa letu lisonge mbele.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal ahimiza uwekezaji kwenye sayansi, teknolojia

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amesema nchi za Afrika haziwezi kuendelea pasipo kuwekeza kwenye masomo ya sayansi na teknolojia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani