Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue asisitiza matumizi ya sayansi, teknolojia

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni SefueKATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ili nchi iweze kuendelea ni lazima iwekeze katika sayansi, teknolojia na ubunifu na kuhamasisha vijana kuwa wavumbuzi wa mambo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

jamii inapaswa kuwekeza katika sayansi na teknolojia - Balozi Sefue

Na May-Zuhura Simba
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa ili jamii iweze kukua kwa kasi na kupata maendeleo haina budi kuwekeza katika sayansi na teknolojia.
Aliongea hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa warsha ya kupitia marejeo ya mfumo wa Taifa wa sayansi,teknolojia na ubunifu ulioandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
“ubunifu katika sayansi na teknolojia ni kitu muhimu katika kupata uvumbuzi wa vitu mbalimbali muhimu vinavyoleta maendelao...

 

11 years ago

Michuzi

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia yatoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi ya tehama


 Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia bi Prisca Ulomi akitoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi sahihi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)  wakati wa mkutano  na waandishi wa habari leo jijini Dar es salam . Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Bi Prisca Ulomi akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu hatua iliyofikiwa na Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/21

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Lazaro Ndalichako.

 

10 years ago

Mwananchi

Tutajuta tusipowekeza katika sayansi, teknolojia

Jana tulichapisha habari kuhusu madaktari katika Chuo cha Tiba cha Amrita, nchini India ambao wamefanikiwa kufanya upasuaji wa aina yake wa kupandikiza mikono mipya kwa binadamu aliyekatika viungo hivyo. Upandikizaji huo ambao umefanyika kwa mara ya kwanza nchini humo ulimhusu mwanamume mwenye umri wa miaka 30, aliyekatika mikono katika ajali ya treni. Mikono hiyo mipya ilichukuliwa kutoka kwa kijana mwenye umri wa miaka 24 aliyefariki katika ajali ya gari.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Serikali itawekeza katika sayansi, teknolojia

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali yake imedhamiria kwa dhati kuwekeza katika masomo ya sayansi na teknolojia, kwani hiyo ndio siri kubwa ya maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Asisitiza matumizi ya takwimu sahihi

WATANZANIA wametakiwa kutumia takwimu sahihi kuanzia ngazi ya vijiji kwa lengo la kutathmini mipango ya maendeleo huku wakionywa kutotumia takwimu zisizo sahihi kwani zitasababisha matokeo yasiyo sahihi na kuathiri jamii.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal ahimiza uwekezaji kwenye sayansi, teknolojia

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amesema nchi za Afrika haziwezi kuendelea pasipo kuwekeza kwenye masomo ya sayansi na teknolojia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenzetu wameendelea kwa kujali sayansi na teknolojia

Matumizi ya sayansi na teknolojia katika sekta mbalimbali za maendeleo ni muhimu ili kuliwezesha taifa letu lisonge mbele.

 

11 years ago

Habarileo

‘Bajeti ijikite zaidi maendeleo ya sayansi, teknolojia’

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwekeza zaidi na kuongeza bajeti katika eneo la maendeleo ya sayansi, teknolojia, ubunifu na utafiti ili kuharakisha maendeleo nchini na jitihada za kupunguza umasikini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani