MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa
>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Nov
MAONI: Mawaziri waache mzaha na hoja za wabunge
>Tatizo la mawaziri kudhihaki au kutoa majibu mepesi wanapojibu maswali ya wabunge ndani ya Bunge, linazidi kuwa kubwa. Baadhi ya mawaziri wamefikia hatua ya kuonyesha kwamba kujibu maswali ya wabunge ni fadhila badala ya kuwa wajibu wao, kwa mujibu wa kanuni za Bunge.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma
Januari 29, mwaka huu, Bunge la Jamhuri ya Muungano lilijadili hoja ya dharura iliyowasilishwa na Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia, kuhusu tukio la askari polisi kumpiga Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 jioni bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali
Bunge kwa siku kadhaa limekuwa likijadili Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16. Jambo la kusikitisha ni kuwa, kinyume na mijadala ya bajeti kuu za Serikali iliyofanyika miaka ya nyuma, mjadala wa bajeti ya mwaka wa fedha ujao umekuwa na upungufu mkubwa kutokana na kuhusisha idadi ndogo sana ya wabunge.
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.
11 years ago
Mwananchi24 Jun
MAONI: Polisi waache kufanya kazi kwa mazoea
>Mojawapo ya habari kubwa ambazo zimetawala vyombo mbalimbali vya habari kwa siku za karibuni ni matukio mengi ya uhalifu katika maeneo mbalimbali nchini ikiwamo Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
MJADALA: Je, vijana nchini waache kushiriki kwenye siasa?
>Mfumo wa vyama vingi vya siasa ni hali ya kuwa na chama zaidi ya kimoja katika nchi moja. Madhumuni ya mfumo huu ni kupanua uwanja wa demokrasia kwa wananchi na kuleta ushindani wa kisiasa unaosaidia ukuaji wa demokrasia, uwajibikaji na kuleta maendeleo kwa nchi husika, ukiruhusu kuwapo chama tawala au muungano wa vyama hivyo pamoja na upinzani.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Wabunge Afrika Mashariki waache kumghasi Spika
Inasikitisha kuona kwamba wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wameendelea na mizozo kiasi cha kukwamisha shughuli za Bunge hilo na kusababisha hofu kwamba linaweza kusambaratika.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania