MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 jioni bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 May
MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa
>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfiVqWmhTz7EkpJpSEdEJcu19PxRoRgM4slac27lAmPmI7j8XI0bw4BOC4H0Yr5huqmS7vzYVKVcOuxNyx6noB4x/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
VIDOKEZO MUHIMU BAJETI YA WIZARA YA ULINZI
WABUNGE wameendelea kuchangia hotuba ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kutenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi aliyoitoa jana. Vifuatavyo ni baadhi ya vidokezo vilivyochangiwa na waheshimiwa wabunge wa Bunge la 10 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkutano wake wa 15 kwenye kikao chake cha Saba. Wataalamu tunao, tumewatelekeza- Anna Abdalah
MBUNGE wa Viti Maalum, Anna Abdalah amesema nchi imewatelekeza wataalamu mbalimbali waliopo jeshini,...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba
Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MAONI: Ni muhimu wagombea urais kushiriki midahalo
>Taasisi ya CEO Roundtable imeandaa midahalo kwa ajili ya watu ambao wametangaza nia au kujitokeza kuwania urais kwa kupitia vyama tofauti, kwa kuanzia na CCM ambayo imeshaanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
9 years ago
Mwananchi03 Sep
MAONI : Ni muhimu wananchi kufuata kanuni za afya
Gazeti hili toleo la Septemba Mosi katika ukurasa wake wa sita, kulikuwa na habari iliyomnukuu Ofisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Mathias Kapizo akizungumzia sababu za kujikita kwa ugonjwa wa kipindupindu katika mkoa huu, ambao hadi sasa umewakumba watu zaidi ya 400.
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mambo sita muhimu kuelekea Kura ya Maoni, Uchaguzi Mkuu
Hofu ya kukataliwa kwa Katiba Mpya kumeifanya Serikali ivunje makubaliano ya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kwamba Kura ya Maoni isitishwe hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi03 May
MAONI: Vyombo vya habari ni muhimu kwa ustawi wa Taifa
>Leo ni Siku ya Uhuru wa Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo inaadhimishwa kote duniani kwa lengo la kuongeza ufahamu wa uhuru huo na pia kuzikumbusha serikali wajibu wake wa kuheshimu na kulinda haki za uhuru wa kujieleza.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali
Bunge kwa siku kadhaa limekuwa likijadili Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16. Jambo la kusikitisha ni kuwa, kinyume na mijadala ya bajeti kuu za Serikali iliyofanyika miaka ya nyuma, mjadala wa bajeti ya mwaka wa fedha ujao umekuwa na upungufu mkubwa kutokana na kuhusisha idadi ndogo sana ya wabunge.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania