Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDOKEZO MUHIMU BAJETI YA WIZARA YA ULINZI

WABUNGE wameendelea kuchangia hotuba ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kutenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi aliyoitoa jana. Vifuatavyo ni baadhi ya vidokezo vilivyochangiwa na waheshimiwa wabunge wa Bunge la 10 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkutano wake wa 15 kwenye kikao chake cha Saba. Wataalamu tunao, tumewatelekeza- Anna Abdalah
MBUNGE wa Viti Maalum, Anna Abdalah amesema nchi imewatelekeza wataalamu mbalimbali waliopo jeshini,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DR MWINYI AWASILISHA Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Hussen Mwinyi akisoma bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi kwa Mwaka 2014/2015 leo Bungeni mjini Dodoma.  Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Paulina Mavunde akigawa kitabu cha Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujengaTaifa kwa Mwaka 2014/2015 leo  Wabunge wakisoma Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa 2014/2015 leo.  Mkuu wa Majeshi Jenerali  Davis Mwamunyange akiwa amesimama wakati akitambulishwa na Spika wa Bunge...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO


Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.

Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa

Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 jioni bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa

>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.

 

11 years ago

Mwananchi

Waiponda Bajeti Wizara ya Afya

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imesema Serikali imeweka rehani wananchi wake kutokana na uamuzi wake wa kuchangia kiasi kidogo cha fedha za maendeleo za Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii mwaka 2014/15.

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti za wizara zinaandaliwa kisanii

Tuliwahi kusema kupitia katika safu hii kwamba vituko vingi vinavyotokea hapa nchini ni vigumu kutokea katika nchi nyingine. Tulikuwa na maana kwamba nchi yetu ina matukio mengi ya ajabu na ya aina yake.

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita

PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Wizara ya Fedha ni kufuru

Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka ujao wa fedha imetuthibitishia kitu kimoja kikubwa. Kwamba wizara hiyo inajiona iko juu ya wizara nyingine, hivyo kuziona shughuli zake kama kipaumbele pekee cha Taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani