Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita
PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog17 May
Bajeti ya Wizara ya mambo ya ndani ya nchi yapita bila kupingwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Naibu wake, Pereira Sirima (kulia) wakipongezwa na Wabunge baada ya bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Makambako, Deo Sanga (kushoto) na Mbunge wa Viti Maaliam, Lediana Mng’ong’o...
10 years ago
Mwananchi24 May
Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Chakula yapitishwa na wabunge 68
11 years ago
Habarileo25 Jun
Bajeti ya Serikali yapita
BAJETI ya Serikali imepita jana baada ya kuridhiwa na wabunge wengi wakiwemo baadhi ya Kambi ya Upinzani, ambapo Wabunge waliopiga kura za Ndiyo 234, Hapana 66.
11 years ago
Habarileo25 Jun
Bajeti yapita kiulaini
BAJETI ya Serikali imepita jana baada ya kuridhiwa na wabunge wengi wakiwemo baadhi ya Kambi ya Upinzani, ambapo Wabunge waliopiga kura za Ndiyo 234, Hapana 66.
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Bajeti ya Serikali yapita bungeni
10 years ago
Mwananchi31 May
Bajeti ya Uchukuzi yapita kwa mbinde
11 years ago
Mwananchi27 May
Bajeti ya Mwakyembe yatikisa Bunge, yapita
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Bajeti Kuu yapita gizani, Mkuya atema cheche
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0ZS9Oa7b8Gw/XufftkzZQFI/AAAAAAALt9M/bv2tb4Pv8W0blHowtAHJz7X6ncXiWFYlgCLcBGAsYHQ/s72-c/AC3A8690.jpg)
BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITA KWA KISHINDO,SPIKA NDUGAI ASEMA IMEVUNJA REKODI NA YAJAYO YANAFURAHISHA
BAJETI imepita!Hiyo ndio habari ya Mjini kwa siku ya leo baada ya wabunge kupitisha kwa kishindo Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88.
Kura ambazo zimepigwa na wabunge na kufanikisha kuipitisha bejeti hiyo ni kura za ndio 304 huku kura , 63 za hapana huku wabunge 18.Hata hivyo safari hii wabunge wa vyama vya upinzani wengi wao wamepiga kura ya ndio.
Kwa kukumbusha tu bajeti ya mwaka huu ndio ambayo imeungwa mkono zaidi...