Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti Kuu yapita gizani, Mkuya atema cheche

>Bajeti Kuu ya Serikali ya 2014/15 imepitishwa jana bungeni mjini hapa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya akisema lazima wafanyabiashara walipe kodi inayostahili na iwapo kuna anayedhani anapata hasara kwa kulipa kodi afunge biashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITA KWA KISHINDO,SPIKA NDUGAI ASEMA IMEVUNJA REKODI NA YAJAYO YANAFURAHISHA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BAJETI imepita!Hiyo ndio habari ya Mjini kwa siku ya leo baada ya wabunge kupitisha kwa kishindo Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88.
Kura ambazo zimepigwa na wabunge na kufanikisha kuipitisha bejeti hiyo ni  kura za ndio 304 huku kura , 63 za hapana huku wabunge 18.Hata hivyo safari hii wabunge wa vyama vya upinzani wengi wao wamepiga kura ya ndio.
Kwa kukumbusha tu bajeti ya mwaka huu ndio ambayo imeungwa mkono zaidi...

 

11 years ago

Habarileo

Membe atema cheche

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametema cheche akitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu mgombea wa urais mwakani, kujulikana ifikapo Desemba, lakini akawashushia lawama waandishi wa habari nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

IGP atema cheche

Baada ya kuapishwa jana kuwa Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Ernest Mangu amesema ataanza kazi yake kwa kupambana na uhalifu wa aina zote pamoja na ajali za barabarani.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Balozi Sefue atema cheche


NA WAANDISHI WETU, DODOMA
SERIKALI imewataka viongozi waandamizi wanaoendelea kutumia risiti za kuandikwa kwa mikono katika makusanyo ya serikali kuachia ngazi kwa kuwa wameshindwa kudhibiti mapato ya serikali.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipokuwa akifungua mkutano wa faragha wa mwaka wa makatibu wakuu, manaibu na makatibu tawala wa mikoa.
Sefue alisema mfumo ya kukusanya mapato kwa kutumia risiti zilizoandikwa kwa mikono unasababisha uvujaji mkubwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge Gama atema cheche

MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Maji wa manispaa hiyo, Samwel Sanya, kuhakikisha wakazi wa kata ya Luhuwiko wanapata huduma ya maji safi na salama.

 

10 years ago

Mwananchi

Mmiliki wa IPTL atema cheche

Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habirnder Seth Singh amesema anafikiria mara mbilimbili iwapo aendelee kuwekeza nchini au la, baada ya kuwapo kwa tuhuma kwamba alihusika na uchotaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI DK. KAMANI ATEMA CHECHE BUSEGA

NA MWANDISHI WETU, BUSEGA.MWENYEKITI wa CCM mkoani Simiyu, Dk. Titus Kamani, amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Madiwani, Makatibu wa Chama na Jumuia zake, kujiwekea ratiba ya kutembelea wananchi ili watambue kero zinazowakabili.
Dk. Kamani, ambaye pia ni Mbunge wa Busega na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, alisema hayo mwishoni mwa wiki wakati akizungumza na baadhi ya viongozi wa Chama katika Kijiji cha Lamadi wilayani Busega.
Alisema huu sio wakati wa kukaa na kubweteka...

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI SIMBA: Mke wa Costa atema cheche

>Mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Jasmin Sudi amewaomba wanachama wamchague ili aendeleze soka na kurudisha heshima ya mwanamke iliyopotea katika klabu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mwijage atema cheche kwa watendaji

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage ametema cheche bungeni kwa kuwataka watendaji wote wa Wakala wa Umeme Vijijini (Rea), kuwataarifu wabunge wa maeneo yao kuhusu utekelezaji wa miradi ya umeme.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani