Bajeti ya Serikali yapita bungeni
Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016, imepitishwa na Bunge, huku kwa mara ya kwanza Mbunge wa Vunjo Augustine Mrema akiipinga, lakini wabunge watatu wa upinzani waliiunga mkono.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Jun
Bajeti ya Serikali yapita
BAJETI ya Serikali imepita jana baada ya kuridhiwa na wabunge wengi wakiwemo baadhi ya Kambi ya Upinzani, ambapo Wabunge waliopiga kura za Ndiyo 234, Hapana 66.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0ZS9Oa7b8Gw/XufftkzZQFI/AAAAAAALt9M/bv2tb4Pv8W0blHowtAHJz7X6ncXiWFYlgCLcBGAsYHQ/s72-c/AC3A8690.jpg)
BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITA KWA KISHINDO,SPIKA NDUGAI ASEMA IMEVUNJA REKODI NA YAJAYO YANAFURAHISHA
BAJETI imepita!Hiyo ndio habari ya Mjini kwa siku ya leo baada ya wabunge kupitisha kwa kishindo Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88.
Kura ambazo zimepigwa na wabunge na kufanikisha kuipitisha bejeti hiyo ni kura za ndio 304 huku kura , 63 za hapana huku wabunge 18.Hata hivyo safari hii wabunge wa vyama vya upinzani wengi wao wamepiga kura ya ndio.
Kwa kukumbusha tu bajeti ya mwaka huu ndio ambayo imeungwa mkono zaidi...
11 years ago
Habarileo25 Jun
Bajeti yapita kiulaini
BAJETI ya Serikali imepita jana baada ya kuridhiwa na wabunge wengi wakiwemo baadhi ya Kambi ya Upinzani, ambapo Wabunge waliopiga kura za Ndiyo 234, Hapana 66.
11 years ago
Habarileo12 May
Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita
PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.
11 years ago
CloudsFM12 Jun
BAJETI KUU YA SERIKALI KUSOMWA LEO BUNGENI DODOMA
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.
Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.
Vipaumbele vya Bajeti hiyo, kwa maana ya miradi itakayozingatiwa zaidi, ni iliyo katika...
11 years ago
Mwananchi27 May
Bajeti ya Mwakyembe yatikisa Bunge, yapita
10 years ago
Mwananchi31 May
Bajeti ya Uchukuzi yapita kwa mbinde
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/qMRc91R7lSg/default.jpg)
BAJETI KUU YA SERIKALI 2020-2021 ILIVYOSOMWA BUNGENI DODOMA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/rf-1.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Bajeti Kuu yapita gizani, Mkuya atema cheche