Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI : Ni muhimu wananchi kufuata kanuni za afya

Gazeti hili toleo la Septemba Mosi katika ukurasa wake wa sita, kulikuwa na habari iliyomnukuu Ofisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Mathias Kapizo akizungumzia sababu za kujikita kwa ugonjwa wa kipindupindu katika mkoa huu, ambao hadi sasa umewakumba watu zaidi ya 400.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta atakiwa kufuata kanuni

BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewataka Simba kufanya marekebisho ya katiba yao kwa kuzingatia katiba, kanuni na maelekezo ya Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Afrika (CAF) na TFF.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Basata yahimiza wadau wa sanaa kufuata kanuni

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limetoa msisitizo kwa waandaaji wa matamasha na mashindano ya Sanaa na urembo kuzingatia kanuni na taratibu zilizopo katika kuendesha matukio yao. Msisitizo huo umetolewa...

 

9 years ago

StarTV

NEC yawataka viongozi wa vyama kufuata kanuni za uchaguzi

 

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NCHINI (NEC), Jaji Damian Lubuva amekemea na kupiga marufuku viongozi wa vyama vya siasa wanaozidisha muda wa kufanya kampeni ndani ya nyumba za Ibada kwa madai kuwa kwa kufanya hivyo wanakiuka kanuni za uchaguzi wa nchi.

 

Jaji Lubuva ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es salaam, na kuonya kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya viongozi wa kisiasa watakaokaidi sheria hizo za uchaguzi.

Katika Mkutano wa...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA Kanda ya Mashariki:Wamiliki wa Radio kufuata Sheria,Kanuni pamoja miongozo

 Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mhandisi Lawi Odiero akisaini (mwenye miwani ) akisaini leseni ya MVIWATA  FM Radio  kulia  ni Mhasibu wa MVIWATA FM Radio Thamas Tembe  na kushoto ni Afisa Mwandamizi wa Masuala ya Sheria wa TCRA  Vaolet Eseko katika hafla ya kukabidhiana Leseni ya MVIWATA FM Radio.Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mhandisi Lawi Odiero  akimkabidhi leseni ya Radio  Mhasibu wa MVIWATA FM Radio  Thomas...

 

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.

 

10 years ago

Mwananchi

Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba

Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa

Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 jioni bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Ni muhimu wagombea urais kushiriki midahalo

>Taasisi ya CEO Roundtable imeandaa midahalo kwa ajili ya watu ambao wametangaza nia au kujitokeza kuwania urais kwa kupitia vyama tofauti, kwa kuanzia na CCM ambayo imeshaanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani