MAONI : Ni muhimu wananchi kufuata kanuni za afya
Gazeti hili toleo la Septemba Mosi katika ukurasa wake wa sita, kulikuwa na habari iliyomnukuu Ofisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Mathias Kapizo akizungumzia sababu za kujikita kwa ugonjwa wa kipindupindu katika mkoa huu, ambao hadi sasa umewakumba watu zaidi ya 400.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Sitta atakiwa kufuata kanuni
BAADHI ya wananchi wa Mji wa Dodoma wamemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuhakikisha anaendesha Bunge hilo kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopitishwa na wajumbe. Aidha, wamesema...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Basata yahimiza wadau wa sanaa kufuata kanuni
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limetoa msisitizo kwa waandaaji wa matamasha na mashindano ya Sanaa na urembo kuzingatia kanuni na taratibu zilizopo katika kuendesha matukio yao. Msisitizo huo umetolewa...
9 years ago
StarTV11 Sep
NEC yawataka viongozi wa vyama kufuata kanuni za uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NCHINI (NEC), Jaji Damian Lubuva amekemea na kupiga marufuku viongozi wa vyama vya siasa wanaozidisha muda wa kufanya kampeni ndani ya nyumba za Ibada kwa madai kuwa kwa kufanya hivyo wanakiuka kanuni za uchaguzi wa nchi.
Jaji Lubuva ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es salaam, na kuonya kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya viongozi wa kisiasa watakaokaidi sheria hizo za uchaguzi.
Katika Mkutano wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U7ojQVzi7hc/Xs-Dduoa-SI/AAAAAAALr08/TCUdIPgMuHIqb8gEClZwAnzDJ8_W7cMqgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.39.24%2BAM.jpeg)
TCRA Kanda ya Mashariki:Wamiliki wa Radio kufuata Sheria,Kanuni pamoja miongozo
![](https://1.bp.blogspot.com/-U7ojQVzi7hc/Xs-Dduoa-SI/AAAAAAALr08/TCUdIPgMuHIqb8gEClZwAnzDJ8_W7cMqgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.39.24%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0sHLCqC0As/Xs-DsJ02-sI/AAAAAAALr1A/So0br9VAbxs91tDJBUesksjp0_GYfAojgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.51.53%2BAM.jpeg)
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba
10 years ago
Mwananchi11 Jun
MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MAONI: Ni muhimu wagombea urais kushiriki midahalo