Maoni ya wasanii ni muhimu kwenye Katiba
Viongozi na wasanii kutoka baadhi ya vyama na mashirikisho ya sanaa nchini hivi karibuni walitembelea Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma kuwasilisha kilio chao cha kutaka wasanii kutambuliwa kama kundi kubwa maalumu pamoja na milikibunifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Bunge la Katiba liahirishwe, twende kwenye kura ya maoni
Bunge Maalumu la Katiba linatarajiwa kuanza mnamo Agosti 5 mwaka huu, likiendeleza mjadala wa siku 70 wa rasimu ya Katiba.
11 years ago
GPL25 Jan
SLAA: ASILIMIA 72 YA MAONI TULIYOKUSANYA YAMO KWENYE RASIMU YA PILI YA KATIBA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Wilbrod Slaa amesema asilimia 72 ya maoni yalikusanywa toka kwa wananchi na CHADEMA yamo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Slaa aliyasema hayo mjini Songea akiwa katika Operesheni M4C Pamoja Daima.
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
Wiki iliyopita ilifanyika tathmini ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) za mwaka jana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye msimu mpya wa tuzo hizo kwa mwaka huu 2015. Kwa kawaida Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hualika wadau mbalimbali kuhudhuria tathmini ya tuzo za mwaka uliopita kwa lengo la kuwapa nafasi ya kutoa […]
10 years ago
Mwananchi11 Jun
MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa
Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 jioni bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
MAONI: Ni muhimu wagombea urais kushiriki midahalo
>Taasisi ya CEO Roundtable imeandaa midahalo kwa ajili ya watu ambao wametangaza nia au kujitokeza kuwania urais kwa kupitia vyama tofauti, kwa kuanzia na CCM ambayo imeshaanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
MAONI : Ni muhimu wananchi kufuata kanuni za afya
Gazeti hili toleo la Septemba Mosi katika ukurasa wake wa sita, kulikuwa na habari iliyomnukuu Ofisa Afya wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Mathias Kapizo akizungumzia sababu za kujikita kwa ugonjwa wa kipindupindu katika mkoa huu, ambao hadi sasa umewakumba watu zaidi ya 400.
10 years ago
Mwananchi13 May
MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa
>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mambo sita muhimu kuelekea Kura ya Maoni, Uchaguzi Mkuu
Hofu ya kukataliwa kwa Katiba Mpya kumeifanya Serikali ivunje makubaliano ya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kwamba Kura ya Maoni isitishwe hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania