Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma

Januari 29, mwaka huu, Bunge la Jamhuri ya Muungano lilijadili hoja ya dharura iliyowasilishwa na Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia, kuhusu tukio la askari polisi kumpiga Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa

>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.

 

11 years ago

Michuzi

Barua ya wazi kwa wabunge na vyama vyote vya siasa na viongozi wote na kwa umma wa Tanzania.

Na mshurukuru Mungu kwa kunipa afya na uzima mpaka leo na mpaka kufikia hapa tulipofika na kuweza kuona miaka zaidi ya hamsini ya uhuru na miaka hamsini ya Muungano  na mpaka kufikia hatuwa ya kuweza kupata katiba mpaya au mchakato wa kuandika katiba mpya, Na wewe Bwana michuzi nashukuru kwa kazi yako unayoifanya ya kutupa matukio yanayotokea uko nyumbani kwa video na kwa picha,Mungu akurinde na akupe uzima na Afya.
Bwana michuzi wazungu wanasema  damu ni nzito kuliko maji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vullu: Epusheni siasa mijadala ya Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Zainabu Vullu, amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuingiza siasa wakati wa kujadili rasimu ya katiba mpya na badala yake wajikite kujadili masuala yaliyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu

SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...

 

11 years ago

Mwananchi

MJADALA: Je, vijana nchini waache kushiriki kwenye siasa?

>Mfumo wa vyama vingi vya siasa ni hali ya kuwa na chama zaidi ya kimoja katika nchi moja. Madhumuni ya mfumo huu ni kupanua uwanja wa demokrasia kwa wananchi na kuleta ushindani wa kisiasa unaosaidia ukuaji wa demokrasia, uwajibikaji na kuleta maendeleo kwa nchi husika, ukiruhusu kuwapo chama tawala au muungano wa vyama hivyo pamoja na upinzani.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Mawaziri waache mzaha na hoja za wabunge

>Tatizo la mawaziri kudhihaki au kutoa majibu mepesi wanapojibu maswali ya wabunge ndani ya Bunge, linazidi kuwa kubwa. Baadhi ya mawaziri wamefikia hatua ya kuonyesha kwamba kujibu maswali ya wabunge ni fadhila badala ya kuwa wajibu wao, kwa mujibu wa kanuni za Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge Afrika Mashariki waache kumghasi Spika

Inasikitisha kuona kwamba wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wameendelea na mizozo kiasi cha kukwamisha shughuli za Bunge hilo na kusababisha hofu kwamba linaweza kusambaratika.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wawe wamoja mijadala kuhusu Ripoti ya CAG, Mahakama ya Kadhi

Bunge jana lilianza mkutano wake wa 18 mjini Dodoma likiwa na masuala mengi mazito katika ajenda yanayopaswa kujadiliwa katika muda mfupi tu wa wiki mbili. Hicho ni kikao chake cha kwanza mwaka huu, ambacho kinakuja baada ya mkutano wake wa 16/17 uliofanyika Novemba mwaka jana na kugubikwa na mjadala mkali kuhusu uchotwaji wa fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow. Baadhi ya watendaji serikalini wamefikishwa mahakamani, huku mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa Serikali wakijiuzulu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani