Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Mawaziri waache mzaha na hoja za wabunge

>Tatizo la mawaziri kudhihaki au kutoa majibu mepesi wanapojibu maswali ya wabunge ndani ya Bunge, linazidi kuwa kubwa. Baadhi ya mawaziri wamefikia hatua ya kuonyesha kwamba kujibu maswali ya wabunge ni fadhila badala ya kuwa wajibu wao, kwa mujibu wa kanuni za Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni

Nakumbuka wakati nikiwa shule ya msingi, mwalimu wa Kiswahili alikuwa akipendwa sana na wanafunzi na siri kubwa ilikuwa aina yake ya ufundishaji wake.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Bajeti ni muhimu zaidi, wabunge waache siasa

>Bunge la Bajeti limeanza jana na kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bunge, litatumia siku 44 badala ya 56 zilizokuwa zikitumika awali.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Polisi waache kufanya kazi kwa mazoea

>Mojawapo ya habari kubwa ambazo zimetawala vyombo mbalimbali vya habari kwa siku za karibuni ni matukio mengi ya uhalifu katika maeneo mbalimbali nchini ikiwamo Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge Afrika Mashariki waache kumghasi Spika

Inasikitisha kuona kwamba wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wameendelea na mizozo kiasi cha kukwamisha shughuli za Bunge hilo na kusababisha hofu kwamba linaweza kusambaratika.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma

Januari 29, mwaka huu, Bunge la Jamhuri ya Muungano lilijadili hoja ya dharura iliyowasilishwa na Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia, kuhusu tukio la askari polisi kumpiga Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzaha mzaha utumbua usaha milipuko ya mabomu Arusha

Usiku wa kuamkia Julai 8, mwaka huu, bomu la kutupa kwa mkono lililipuka katika mgahawa wa Vama Restaurant uliopo maeneo ya Gymkhana na kujeruhi watu wanane, miongoni mwao wakipoteza baadhi ya viungo vya mwili vilivyolazimika kukatwa kutokana majeraha mabaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri wajibu hoja kwa vijembe

Tambo, kejeli, vijembe na kampeni vilitawala bungeni mjini hapa jana wakati mawaziri wakijibu hoja za wabunge wa upinzani waliokosoa Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Nitarudi na mawaziri kujibu hoja

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi kuwapeleka baadhi ya mawaziri kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai wanaoishi katika vijiji vilivyopo ndani ya Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali ijibu hoja za wafanyabiashara

>Kwa muda mrefu sasa tangu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilipowataka kisheria wafanyabiashara wakubwa nchini kutumia mashine za EFD kukokotoa malipo ya kodi, imeibuka misuguano baina ya taasisi hiyo ya Serikali na wafanyabiashara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani