Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Serikali ijibu hoja za wafanyabiashara

>Kwa muda mrefu sasa tangu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilipowataka kisheria wafanyabiashara wakubwa nchini kutumia mashine za EFD kukokotoa malipo ya kodi, imeibuka misuguano baina ya taasisi hiyo ya Serikali na wafanyabiashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijibu fumbo la lugha ya kufundishia nchini

>Je, lugha ipi itumike kufundishia elimu ya msingi?  Hili ni swali ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiibua mijadala katika duru za kisomi na ndani ya jamii kwa jumla.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yetu sikivu ijibu maswali haya muhimu

Napenda niikumbushe serikali kwamba kuna maswali ilipewa na viongozi wa kanisa, yaani, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), Machi mwaka jana, lakini hadi leo bado haijatoa majibu sahihi ya maswali hayo mbali na kusema “uchunguzi bado unaendelea”.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Mawaziri waache mzaha na hoja za wabunge

>Tatizo la mawaziri kudhihaki au kutoa majibu mepesi wanapojibu maswali ya wabunge ndani ya Bunge, linazidi kuwa kubwa. Baadhi ya mawaziri wamefikia hatua ya kuonyesha kwamba kujibu maswali ya wabunge ni fadhila badala ya kuwa wajibu wao, kwa mujibu wa kanuni za Bunge.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yapangua hoja za Zitto

muhongo

Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo.

MUHONGO(UTETEZI WA SERIKALI)
Anaomba radhi kama jana kulikuwa na usumbufu wa umeme na anawaagiza mameneja wote wa TANESCO wasikate umeme.
Anatoa pongezi juu ya mjadala wa Escrow, mengi yamesemwa na ni wakati wa kuanza mjadala kujua ukweli, Shukraan kwa CAG, TAKUKURU na PCCB kwa uchunguzi. Pia nawashukuru PAC, jana tulitulia kuwasikiliza PAC na leo tutulie tusikilize utetezi wangu.

Miaka ya 90 tulikuwa tuna upungufu wa umeme kutokana na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja ya serikali ya mseto Ukraine

Bunge limechelewa kuiunda serikali ya mseto kufuatia kung'atuliwa mamlakani rais Viktor Yanukovych, Limetangaza kuiunda Alhamisi.

 

11 years ago

Habarileo

Hoja kuhusu Serikali ya Umoja kuwasilishwa

MNADHIMU wa Baraza la Wawakilishi ambaye ni Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni, Salmin Awadh Salmin (CCM) amesema hoja binafsi ya kutaka kufutwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ipo na ataiwasilisha wakati muafaka ukifika.

 

10 years ago

Habarileo

Hoja binafsi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa yaja

Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura , Hamza Hassan JumaMWAKILISHI wa Jimbo la Kwamtipura , Hamza Hassan Juma (CCM) amesema anatarajia kuwasilisha hoja binafsi katika Baraza la Wawakilishi, itakayotoa nafasi kwa Wazanzibari kuulizwa tena kama wanataka Serikali ya Umoja wa Kitaifa kuendelea kuwepo katika mfumo uliopo sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani