Serikali ijibu fumbo la lugha ya kufundishia nchini
>Je, lugha ipi itumike kufundishia elimu ya msingi? Hili ni swali ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiibua mijadala katika duru za kisomi na ndani ya jamii kwa jumla.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Lugha ya kufundishia shuleni inavyowachanganya wanafunzi
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Mtembea peku ashinikiza Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia
MJADALA wa lugha ya kuundishia umejadiliwa kwa kirefu katika ngazi zote za elimu na taasisi zake, wataalamu wa lugha, wahadhiri na walimu katika ngazi ya msingi na sekondari wanajadili na mwafaka haujapatikana.
Richard Ricardo maarufu Father Pekupeku kutokana na tabia yake ya kutovaa viatu naye anaishawishi serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iridhie Kiswaili kuwa lugha ya kufundishia kama yalivyo mataifa mengine yanavyotumia lugha zao za taifa katika elimu.
Huyu...
10 years ago
Mwananchi08 Apr
MAONI: Serikali ijibu hoja za wafanyabiashara
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Serikali yetu sikivu ijibu maswali haya muhimu
11 years ago
Habarileo28 Jan
Serikali kutoa tabuleti ya kufundishia sekondari
SERIKALI inakusudia kutoa tabuleti ya kufundishia masomo mbalimbali kwa wanafunzi na walimu wa shule za sekondari nchini, kama njia ya kukabili changamoto kwenye sekta ya elimu kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT). Ili kufanikisha mpango huo, Serikali inakusudia kuingia ushirikiano na taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Opportunity Education Trust ya Marekani.
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari
Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.
Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.
Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Serikali yaonya wauguzi kwa lugha mbaya
SERIKALI imewataka wauguzi nchini kuacha kutoa lugha mbaya kwa wananchi. Badala yake, wametakiwa kuboresha utoaji wa huduma za afya na kuwa wepesi wa kusahihisha mapungufu ili kuhakikisha huduma sahihi zinatolewa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LosXt2TCj-4/VRAahnYsslI/AAAAAAAHMbY/C6V2uE9E1Tg/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Nchi 19 zashiriki Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-LosXt2TCj-4/VRAahnYsslI/AAAAAAAHMbY/C6V2uE9E1Tg/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uQrb1MBPFpc/VRAahX2LEcI/AAAAAAAHMbg/as8fsypF3oM/s1600/Pix%2B2.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Ujenzi wa maktaba zaidi badala ya baa; utachangia maendeleo ya lugha nchini