Ujenzi wa maktaba zaidi badala ya baa; utachangia maendeleo ya lugha nchini
Karibuni Bunge letu limejadiliana lugha ipi itumike kufundisha wanafunzi Tanzania. Mmoja wa wabunge, Kombo Khamis Kombo, alisema Wakenya wanatuzidi sasa hivi kwa Kiswahili. Siri kuu ya Wakenya kupiga hatua katika lugha imesimama dede katika elimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4LlsKQSMmWE/VfgIayk7LSI/AAAAAAAH4_c/ocYWeAK5F8c/s72-c/01.jpg)
READ INTERNATIONAL KUJENGA MAKTABA ZA SEKONDARI NYINGI ZAIDI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4LlsKQSMmWE/VfgIayk7LSI/AAAAAAAH4_c/ocYWeAK5F8c/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--ae-wkzGoUM/VfgIaxZwXJI/AAAAAAAH4_Y/jTlTSagBqTA/s640/02.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Lugha mama, Unesco, maendeleo ya watu na nchi
Maendeleo ya watu na nchi ni vitu vinavyotakiwa kwenda mbele kwa pamoja. Iwapo kimoja kitaendelea na kingine kukwaza watu , nchi husika hukumbwa na matatizo ya kila aina.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q-Hzwb1NEtE/Xm4Nspoh0zI/AAAAAAALjuE/9Dj-YfiOfrgHK4xEkVa4DaPInPc4k35mwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-41.jpg)
KAMATI YA BUNGE YAUBEBA MRADI UJENZI MAKTABA YA CHUO CHA ARDHI TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q-Hzwb1NEtE/Xm4Nspoh0zI/AAAAAAALjuE/9Dj-YfiOfrgHK4xEkVa4DaPInPc4k35mwCLcBGAsYHQ/s640/1-41.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akitolea ufafanuzi hoja zilizowasilishwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusiana na mradi wa ujenzi wa Maktaba ya Chuo cha Ardhi Tabora wakati kamati hiyo ilipokwenda kukagua maendeleo ya mradi huo mwishoni mwa wiki . Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati Kemilembe Lwota na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/4-35.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-859T5dR9H6U/VRVoUzEP9OI/AAAAAAAHNpk/Fi9hrlorngk/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Ngono badala ya chakula nchini Uganda
Baadhi ya wananchi wa Uganda wametoa maoni tofauti kufuatia kauli ya Waziri anayehusika na maadili nchini humo Dokta Simon Lokodo.
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Ruwaich ahimiza wanavyuo kujua lugha zaidi ya moja
ASKOFU mkuu wa Jimbo la Mwanza, Juda Thadeus Ruwaich amewahimiza wanafunzi wa vyuo vikuu kujishughulisha na kujibidiisha kujua lugha zaidi ya moja ili kuendana na soko la ajira. Aidha, amewataka...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Wadau: Utajiri wa lugha ya Kiswahili ni zaidi ya gesi na madini
Kwa hali ilivyo nchini, kuna kila sababu ya kusema kuwa lugha ya Kiswahili imesuswa na wale waliopewa jukumu la kuiendeleza. Kibaya ni kuwa wanaofanya hivyo hawajui thamani ya lugha hiyo kwa maendeleo ya Tanzania kiutamaduni na hata kiuchumi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania