KAMATI YA BUNGE YAUBEBA MRADI UJENZI MAKTABA YA CHUO CHA ARDHI TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q-Hzwb1NEtE/Xm4Nspoh0zI/AAAAAAALjuE/9Dj-YfiOfrgHK4xEkVa4DaPInPc4k35mwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-41.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akitolea ufafanuzi hoja zilizowasilishwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusiana na mradi wa ujenzi wa Maktaba ya Chuo cha Ardhi Tabora wakati kamati hiyo ilipokwenda kukagua maendeleo ya mradi huo mwishoni mwa wiki . Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati Kemilembe Lwota na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri.Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YABAINI MAPUNGUFU MAKUBWA UJENZI WA CHUO CHA UALIMU CHA AYALABEE WILAYANI KARATU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA (NUU) YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA USEREMALA GEREZA MSALATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndugu Christopher D. Kadio (wa nne toka kushoto ) akimkaribisha Mkuu wa Msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,ambaye ni Mbunge wa Zanzibar Jimbo la Uzini ndugu Salum Rehani(wa nne toka kulia) walipowasili eneo la Mradi, Msalato. Wa tatu toka kushoto ni Kamishna Jenerali wa...
5 years ago
MichuziMRADI WA UPANGAJI NA UPIMAJI ARDHI MANISPAA YA SHINYANGA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Malisili na Utalii imeridhishwa na maendeleo ya mradi wa kupanga, kupima na kumilikisha ardhi katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga.
Mradi huo wa viwanja 320 ni mkopo usio na riba wa shilingi milioni 240 kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ukiwa na lengo la kuongeza kasi ya upangaji, upimaji na umilikishaji ili kuondoa migogoro ya...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yatembelea eneo ambalo NHC inatekeleza mradi wa nyumba wa Kawe City
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Felix Maagi akiongoza Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira wakati ilipotembelea eneo la mradi wa nyumba ambao unaotarajiwa kuanza katika uwanja wa kulenga shabaha wa jeshi la wananchi Kunduchi, baada ya makubaliano kati ya Jeshi la wananchi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kamati hiyo ikiongozwa na mwenyekiti wake na jimbo la Kahama Mbunge Mh. James Lembeli na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Profesa Anna...
10 years ago
Habarileo03 Feb
Kamati ya Bunge yaeleza kiini cha migogoro ya ardhi
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema ni vijiji 1,000 tu kati ya 11,000 vilivyopo nchini ndivyo vyenye mpango wa matumizi bora ya ardhi jambo linalosababisha kuwapo kwa migogoro ya ardhi.
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU KADIO AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU MAGEREZA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA, WAJUMBE WAKAGUA UJENZI KIWANDA CHA USEREMALA, MSALATO DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA KUPOKEA TAARIFA YA MRADI WA UJENZI MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jXtnJTM2doQ/XnJOZKxw_jI/AAAAAAALkWQ/jDWWERpQ8ogJRG12JhCm552lYV3rcZ1RQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Oct
Kamati ya Bunge yaibana Wizara ya Ardhi
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kutengeneza mpango wa upimaji maeneo ya makazi yasiyopimwa nchini ili yatambuliwe rasmi, lengo ni kuhakikisha serikali inakusanya fedha za kodi ya ardhi inayopotea, kutokana na nyumba nyingi kukosa hati ya umiliki.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
KUTOKA MAKTABA: DKT.JOHN J.P MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 1985/1986
![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)