Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lugha mama, Unesco, maendeleo ya watu na nchi

Maendeleo ya watu na nchi ni vitu vinavyotakiwa kwenda mbele kwa pamoja. Iwapo kimoja kitaendelea na kingine kukwaza watu , nchi husika hukumbwa na matatizo ya kila aina.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAMA MARIA NYERERE AWAOMBA WAKE WA VIONGOZI KUENDELEA KUIOMBEA NCHI IENDELEE KUWA NA AMANI NA MAENDELEO

Mama Maria Nyerere akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wana kikundi cha (NEW MELLENIUM WOMEN GROUP) ambao ni wake wa viongozi kushoto ni Mke wa Waziri wa Utalii na Maliasili Faraja Kota kulia ni Mke wa Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa Mariam Mwinyi walifika nyumbani kwake Msasani kumtembelea nakumjulia hali kutokana na mchango wake mkubwa ambao aliutoa katika kumsaidia Baba wa taifa Mwalimu Juliasi Nyerere kuwaongoza Watanzania nakudumisha amani na upendo kwa makabila...

 

5 years ago

Michuzi

UNESCO YATAMBUA KISWAHILI KAMA LUGHA ITAKAYOSAIDIA KUKUZA UTANGAMANO BARANI AFRIKA

 


Mhe. Balozi Shelukindo (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya Wajumbe kutoka UNESCO wakiangalia machapisho mbalimbali ya Lugha ya Kiswahili yaliyoandaliwa na Ubalozi baada ya kushiriki mjadala kuhusu Lugha ya Kiswahili ulioandaliwa na Ubalozi kwa kushirikiana na UNESCO.

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu katika UNESCO, Mhe. Samwel Shelukindo akizungumza kwenye Mjadala kuhusu "Fursa na Changamoto za Kukitambua Kiswahili kama Lugha rasmi ya Bara la Afrika kwa ajili...

 

10 years ago

Dewji Blog

UNESCO yafadhili maendeleo ya sayansi Afrika

IMG_7359

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye mahafali ya pili ya Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia yaliyofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na Mwandishi Wetu, Arusha

SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limesema linafanyakazi na nchi 20 za Afrika kutengeneza mifumo ya kitaifa ya sayansi, teknolojia kusaidia mataifa hayo kufikia malengo yao ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi wa maktaba zaidi badala ya baa; utachangia maendeleo ya lugha nchini

Karibuni Bunge letu limejadiliana lugha ipi itumike kufundisha wanafunzi Tanzania. Mmoja wa wabunge, Kombo Khamis Kombo, alisema Wakenya wanatuzidi sasa hivi kwa Kiswahili. Siri kuu ya Wakenya kupiga hatua katika lugha imesimama dede katika elimu.

 

10 years ago

Michuzi

Nchi 19 zashiriki Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni nchini

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akiwahutubia washiriki wa Tamasha la Kimatafa la Lugha na Utamaduni lililoandaliwa na Kilimanjaro Dialogue Institute na kufanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jana Jijini Dar es Salaam na kuhusisha washiriki kutoka nchi 19 wakiwa na lengo la kuhamasisha matumizi ya lugha ya kiswahili.Rais wa Kilimanjaro Dialogue Institute Bw. Ali Akkiz akizungumza na washiriki wa Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni jana...

 

9 years ago

Press

Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)

Picha na 1

Picha na 2

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa  uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada  ya  kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.

Picha na 3

Mkurugenzi wa Idara...

 

11 years ago

Michuzi

UNESCO yajivunia mafanikio ya uwezeshaji Radio za kijamii Tanzania hususan kwenye maendeleo ya kijinsia


Mwanamke akisikiliza radio Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Teknolojia, UNESCO linajivunia harakati zake za kuleta usawa wa kijinsia kupitia mafunzo yake ya kuziwezesha radio hususan zile za kijamii kwenye nchi zinazoendelea.Miongoni mwao ni zile za nchini Tanzania ambapo katika mahojiano na Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili Redio Umoja wa Mataifa   Mratibu wa Mawasiliano wa shirika hilo kwa Radio za Kijamii Al Amin Yusuph anaanza kwa kueleza kile walichofanya na...

 

10 years ago

Bongo5

Napenda mwanaume anayeweza kuzungumza lugha nyingi na anayeijua historia za nchi mbalimbali — Rihanna

Ukitaka kuwa boyfriend wa Rihanna sharti ujipange! Hii ni kwasababu mrembo huyo anataka kuwa na mwanaume anayejua vitu vingi sio ‘msingi kiuno’ kama wanaume wengi wa kibongo wanavyoamini! “Navutia na wanaume wanaojua tamaduni. Hiyo itanifanya kushangazwa muda mwingi,” Rihanna ameliambia jarida la T. “Sio lazima wawe na shahada yoyote, lakini wanatakiwa kuzungumza lugha zingine au […]

 

10 years ago

Vijimambo

TUME YA HAKI ZA BINADAMU, UNESCO WATAKA JAMII KUTAMBUA WATU WENYE ALBINISM

XXKamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.UNSMkuu wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, Bi. Zulmira Rodrigues akizungumza kwa msisitizo juu ya jamii ya watanzania kuchukua hatua ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani