Wadau: Utajiri wa lugha ya Kiswahili ni zaidi ya gesi na madini
Kwa hali ilivyo nchini, kuna kila sababu ya kusema kuwa lugha ya Kiswahili imesuswa na wale waliopewa jukumu la kuiendeleza. Kibaya ni kuwa wanaofanya hivyo hawajui thamani ya lugha hiyo kwa maendeleo ya Tanzania kiutamaduni na hata kiuchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
11 years ago
Habarileo08 Jul
Majirani kushiriki utajiri wa gesi
UTAFITI zaidi wa mafuta na gesi unaoendelea nchini, unaweza kuilazimu nchi kuingia katika makubaliano ya uzalishaji wa pamoja wa sehemu ya nishati hiyo na nchi za jirani. Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa iliyowekwa hivi karibuni katika Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa, imefafanua kwa undani historia ya mafanikio ya sekta hiyo muhimu kwa maisha ya kiuchumi ya Watanzania na uwezekano huo katika siku za hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kuna baadhi ya miamba inayozalisha gesi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qeiSUHijcXA/VHQULVaqYeI/AAAAAAAGzSQ/TogOsb1rBIA/s72-c/Wadau%2B1.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA WADAU WA MADINI YA SHABA
Wizara ya Nishati na Madini imekutana na wadau wa madini ya Shaba katika mkutano wa siku mbili ulioanza tarehe 24- 25 Novemba, 2014 na kuwashirikisha wafanyabiashara wa madini hayo, wachimbaji wadogo, viwanda vya kuyeyusha madini ya Shaba, Makamishana Wasaidizi wa Madini kutoka Kanda mbalimbali nchini pamoja na baadhi ya Maafisa Madini Wakaazi.
Akifungua mkutano huo, unaolenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ndogo ya madini ya Shaba na namna ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Lowassa: Utajiri wa gesi uboreshe elimu
NA MWANDISHI WETU
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, amesema Tanzania inaweza kutumia utajiri mkubwa wa gesi iliyogunduliwa kwa ajili ya kuboresha sekta ya elimu.
Lowassa ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu, aliyasema hayo jana wakati akitoa salamu katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki Kati mjini Arusha.
Alisema utajiri wa gesi unaweza kutumika kuinusuru elimu kwa kuiboresha zaidi ili kuwakomboa vijana kuondokana na tatizo la...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Uchambuzi wa lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa Lugha ya Kiswahili