Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali na hasa nyimbo, misemo, nahau na...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Ukuzaji wa Lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa Lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Uchambuzi wa lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Lugha sanifu ya Kiswahili.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Uundaji wa misamiati ya lugha ya Kiswahili
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Heshima na adabu ya lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Nadharia za asili ya lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Jiendeleze katika lugha ya Kiswahili