Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yetu sikivu ijibu maswali haya muhimu

Napenda niikumbushe serikali kwamba kuna maswali ilipewa na viongozi wa kanisa, yaani, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), Machi mwaka jana, lakini hadi leo bado haijatoa majibu sahihi ya maswali hayo mbali na kusema “uchunguzi bado unaendelea”.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali ijibu hoja za wafanyabiashara

>Kwa muda mrefu sasa tangu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilipowataka kisheria wafanyabiashara wakubwa nchini kutumia mashine za EFD kukokotoa malipo ya kodi, imeibuka misuguano baina ya taasisi hiyo ya Serikali na wafanyabiashara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali si sikivu wala adilifu

UKIANGALIA jinsi Tanzania inavyotawaliwa utagundua kuwa serikali inafanya mambo bila kujali hali ya baadaye ya nchi na kwa kiasi kikubwa wananchi wake. Kwa ufupi, serikali si sikivu wala haina uadilifu....

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijibu fumbo la lugha ya kufundishia nchini

>Je, lugha ipi itumike kufundishia elimu ya msingi?  Hili ni swali ambalo kwa muda mrefu limekuwa likiibua mijadala katika duru za kisomi na ndani ya jamii kwa jumla.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali sikivu isikie hili la Kura ya Maoni

Kama kuna muujiza ambao Watanzania wanasubiri kwa hamu kuona ukitokea ni kupigia Kura ya Maoni kuridhia au kukaa Katiba Inayopendekezwa ifikapo Aprili 30.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Umewahi kumuuliza mtoto wako maswali haya?

>Umewahi kumuuliza mtoto wako maswali haya? Unataka kuwa nani au unataka kufanya kazi gani maishani?

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara

Biashara inayokua ina viashiria mbalimbali vinavyoibainisha na kuitofautisha na biashara nyingine kama vile kuongezeka kwa mtaji wa biashara, kuongezeka kwa faida, kuongezeka kwa wafanyakazi, kuongezeka kwa mauzo, utengenezaji wa bidhaa mpya au utoaji wa huduma wa bidhaa mpya na nafasi yake katika soko.

 

9 years ago

MillardAyo

Haya ndio maswali yaliyomkera Van Gaal na kuondoka katika mkutano na waandishi (+Video)

Kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal tayari anaonekana kukosa raha juu ya headlines za maisha yake ndani ya Man United, licha ya kuwa ni tetesi kuhusu koch huyo kuwa hatiani kufukuzwa ila kuna kila dadlili ya uongozi wa Man United kumfuta kazi wakati wowote kuanzia sasa na nafasi yake kupewa Jose Mourinho. […]

The post Haya ndio maswali yaliyomkera Van Gaal na kuondoka katika mkutano na waandishi (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

AKATI WAGOMBEA WENGINE NDANI YA CCM WANA MLALAMIKIA LOWASSA HEBU TUJIULIZE HAYA MASWALI....

January Makamba amechapisha vitabu vyakena kugawa kwa wajumbe wote wa mkutanomkuu, mbona Lowassa hakulalamika?January Makamba alinunua Simu za GallaxySumsang zaidi ya 140 akazigawa kwa wajumbewa baraza UVCCM ZANZIBAR.January 2013 alipokusanya marais wa vyuovikuu Tanzania nzima Mt. Uluguru Hotel nakuwalipa laki moja na nusu kila moja ili watoetamko kuwa anafaa kuwa rais, mbona Lowassahakulalamika?Membe amekuwa akipendelea Wafuasi wakekwenda kusimamia chaguzi Kama waangaliziwa Sadc, mbona...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NI MUHIMU SANA MFANYABIASHARA/MJASIARIAMALI/MNUNUZI WA BIDHAA KUYAJUA HAYA.

Na  Bashir  Yakub

Ipo  sheria moja  iitwayo  Sheria  ya Uuzaji  wa  bidhaa Sura  ya 354. Ni  sheria  ambayo  hutoa majibu  ya  miamala ya  kibiashara  hasa  kwa namna  ya  kimikataba. 
Ni  muhimu  sana  kwa  wajasiriamali  kujua  mambo  yaliyo  kwenye sheria  hii  ili  kuepuka  migongano  na  migogoro  ya  kibiashara.
Sheria  hii hueleza  jambo  fulani likitokea  hivi  kati  ya  muuzaji  na  mnunuzi  nani  ana  haki  na mengine  mengi  kama  nitakavyoonesha  hapa. Ili  ujumbe  kufika  vyema ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani