Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAMBUZI: Umewahi kumuuliza mtoto wako maswali haya?

>Umewahi kumuuliza mtoto wako maswali haya? Unataka kuwa nani au unataka kufanya kazi gani maishani?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Unastahili kumsimamia mtoto wako kujifunza haya

Yapo masuala muhimu, ambayo kama mzazi unapaswa kuyazingatia katika malezi ya mtoto wako. Ikiwa mambo hayo yatasimamiwa vizuri ni wazi mtoto wako atapiga hatua vizuri katika ukuaji wake na hata kufikia kuwa mtoto mwema.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umewahi kusoma vitabu na watoto wako?

KUANZIA Novemba 24 hadi 29 mwaka huu, baadhi yetu ambao tunaamini katika kuwapa nafasi watoto wetu ya kujiandaa na kujijenga kiakili na kifikra kabla ya kuanza shule na wakati wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Muulize MO!: Tuandikie maswali yako kumuuliza Mohammed Dewji (CEO wa MeTL Group) tutakuwa na mahojiano naye hivi karibuni

mo

Msomaji na mdau wa mtandao wako wa habari www.modewjiblog.com unakupa nafasi wewe kumuuliza maswali/swali lolote lile Mkurugenzi Mkuu wa MeTL Group, Mohammed Dewji. Maswali yote yatajibiwa na kutolewa ufafanuzi wa kina. Tutakuwa na mahojiano naye karibuni. Asanteni sana.

Utaratibu wa kumuuliza maswali ni kwa kukomenti kwenye post hii kisanduku cha maoni, Zingatia Kanuni na sheria ikiwemo kutotumia lugha zisizo rasmi.

Pia waweza kutoa maoni yako kupitia kurasa za mitandao ya kijamii ukiwemo...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Prisons ianze kuja na majibu siyo maswali

Wengi waliamini kuwa katika msimu uliopita, 2014/15 Prisons ingekuja na majibu ya ubovu wao wa msimu wa 2013/14 kwa kufanya vizuri zaidi, cha ajabu haikuja na majibu na kwa mwaka wa pili mfululizo ilinusurika katika siku ya mwisho ya msimu.

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Tusiwakomaze Watanzania kwa mabomu haya

>Hakuna jambo la hatari kama kuingiza siasa katika masuala muhimu na nyeti kama ya usalama, kiasi kwamba mabomu yanayolipuliwa Arusha na Zanzibar yameibua maswali mengi yasiyo na majibu.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yetu sikivu ijibu maswali haya muhimu

Napenda niikumbushe serikali kwamba kuna maswali ilipewa na viongozi wa kanisa, yaani, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), Machi mwaka jana, lakini hadi leo bado haijatoa majibu sahihi ya maswali hayo mbali na kusema “uchunguzi bado unaendelea”.

 

11 years ago

GPL

HUONI HAYA KUMTIBULIA SWAUMU MPENZI WAKO?

Ni matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na mishemishe zako za kila siku kama kawaida. Kwa wale Waislam wenzangu niwape pole kwa mfungo na kuwakumbusha tu kwamba, wahakikishe swaumu zao zinakuwa timilifu kwa kujiweka mbali na yale ambayo yanaweza kuwaharibia. Mpenzi msomaji wangu, mapenzi hayana likizo hasa kwa wawili waliotokea kupendana sana. Huwezi kusema unaenda likizo kumpenda mkeo au mpenzi wako lakini kuna...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA!

UNAWEZA kuambiwa maneno mengi sana kutoka kwa mpenzi wako, mazuri na mabaya lakini yapo ambayo yanatoa taswira isiyo nzuri. Jambo la msingi ni kuwa makini kupambanua.
Pointi ya msingi hapa ni lugha zenye ishara mbaya kwa wapenzi. Umewahi kujiuliza kuhusu hili? Umewahi kutafakari juu ya kauli chafu anazotoa mpenzi wako dhidi yako? Kauli za maudhi, kashfa na hata matusi wakati mwingine, wewe unazichukuliaje? Rafiki zangu, kauli...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA! - 2

NINA furaha sana moyoni mwangu maana ninakwenda kuzungumza na wewe kuhusu mambo muhimu sana katika maisha yetu ya kimapenzi. Rafiki zangu, nazungumza juu ya kauli ambazo zina ishara mbaya kwenye uhusiano. Wakati mwingine unaweza kumsikia mpenzi wako akikuambia maneno ya ajabu sana, lakini usielewe maana yake ni nini. Ngoja nikuambie, kila kinachotoka kinywani mwa mpenzi wako kukuambia wewe kina maana yake. Lengo ni kujifunza;...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani