Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya ndio maswali yaliyomkera Van Gaal na kuondoka katika mkutano na waandishi (+Video)

Kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal tayari anaonekana kukosa raha juu ya headlines za maisha yake ndani ya Man United, licha ya kuwa ni tetesi kuhusu koch huyo kuwa hatiani kufukuzwa ila kuna kila dadlili ya uongozi wa Man United kumfuta kazi wakati wowote kuanzia sasa na nafasi yake kupewa Jose Mourinho. […]

The post Haya ndio maswali yaliyomkera Van Gaal na kuondoka katika mkutano na waandishi (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United …

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United anayekipiga katika klabu ya  Bayer Leverkusen ya Ujerumani kwa sasa Javier Hernandez Chicharito amefunguka kwa nini aliamua kuondoka Man United. Chicharito ambaye aliondoka Man United mwaka 2015 baada ya kucheza kwa mkopo wa muda mfupi ndani ya klabu ya Real Madrid. Kwa mara ya kwanza Chicharito ndio anatajwa sababu […]

The post Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United … appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal awapasha waandishi.

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ambaye kwa sasa yuko katika hali mbaya ndani ya klabu hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal awawakia waandishi wa habari, sababu ipo hapa!

louis-van-gaal-press-conference

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal (pichani) amewalalamikia waandishi wa habari kwa kuandika habari kuhusu yeye ambazo sio sahihi kuhusu hatma yake ndani ya Manchester United kutokana na matokeo mabovu wanayoyapata.

Van Gaal aliingia katika mkutano na wanahabari na kuanza kuzungumza kuwa wamekuwa wakiandika habari ambazo hazina ukweli ambazo zinakuwa hazipendezi kwa kuandika kitu kisicho sahihi na kudanganya wasomaji kuhusu hali halisi iliyopo.

“Mnatakiwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal ….

Kila mpenda soka anasubiria kuona mwaka 2015 utamalizikaje kwa kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal kuendelea kuwa Man United, Kwani Van Gaal kwa sasa anahusishwa kufukuzwa kazi wakati wowote. Mengi yanachochea uvumi huo kuwa upo karibu kutimia, ukizingatia mtendaji mkuu wa Man United yupo kimya kwa muda mrefu bila kutoa kauli yoyote. Wazungu […]

The post Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal …. appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]

The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Licha ya kusemwa kwa matumizi ya pound milioni 250, Louis van Gaal yupo katika mipango hii kwa sasa …

Kocha wa klabu ya Manchester United ya Uingereza Louis van Gaal January 2 amerudi kwenye headlines na hii, japokuwa haikutegemewa na wengi, kuona kocha wa sasa  wa Man United ambaye amekuwa akiandikwa katika headlines za soka juu ya hatma yake ndani ya Man United. Moja kati ya vitu vinavyoshangaza wengi ni juu ya kocha huyo […]

The post Licha ya kusemwa kwa matumizi ya pound milioni 250, Louis van Gaal yupo katika mipango hii kwa sasa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video)

Ni muda sasa tangu kusikika kwa headlines za wasanii Berry Black & Berry White ambao walikuwa wakijulikana kama ‘2 Berry’ mara baada ya kuachia hit song ya ‘Na wewe tu’ waliyomshirikisha producer Shirko stori zikaenea kuwa wawili hao wametofautiana na hawafanyi tena kazi pamoja. Sasa hapa nakukutanisha na Berry Black ambaye anaeleza yote mwanzo mwisho […]

The post Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani