Van Gaal awawakia waandishi wa habari, sababu ipo hapa!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal (pichani) amewalalamikia waandishi wa habari kwa kuandika habari kuhusu yeye ambazo sio sahihi kuhusu hatma yake ndani ya Manchester United kutokana na matokeo mabovu wanayoyapata.
Van Gaal aliingia katika mkutano na wanahabari na kuanza kuzungumza kuwa wamekuwa wakiandika habari ambazo hazina ukweli ambazo zinakuwa hazipendezi kwa kuandika kitu kisicho sahihi na kudanganya wasomaji kuhusu hali halisi iliyopo.
“Mnatakiwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Louis van Gaal awapasha waandishi.
10 years ago
Bongo516 Jul
Louis van Gaal azitaja sababu za kutaka kumtema Victor Valdes
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Haya ndio maswali yaliyomkera Van Gaal na kuondoka katika mkutano na waandishi (+Video)
Kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal tayari anaonekana kukosa raha juu ya headlines za maisha yake ndani ya Man United, licha ya kuwa ni tetesi kuhusu koch huyo kuwa hatiani kufukuzwa ila kuna kila dadlili ya uongozi wa Man United kumfuta kazi wakati wowote kuanzia sasa na nafasi yake kupewa Jose Mourinho. […]
The post Haya ndio maswali yaliyomkera Van Gaal na kuondoka katika mkutano na waandishi (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …
Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]
The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa …
Headlines za wachezaji wa Man United kuhusishwa kutomtaka kocha Louis van Gaal aendelee kukitumikia kikosi hiko zinazidi kuchukua nafasi kila siku, kuna wakati Louis van Gaal alisema ni kweli ataondoka Man United kama wachezaji hawatomtaka aendelee kuwepo. Stori za uchunguzi au tetesi zilikuwa nyingi kuwa Louis van Gaal hapatani na wachezaji wake. ila December 16 […]
The post Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa … appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg