Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama ulidhani Man United 2015 ilikuwa vibaya, haya ndiyo maoni ya kocha Van Gaal

article-2701780-1FE441FF00000578-425_634x407

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara

Na Sultani KipingoKocha mpya wa Manchester United Louis van Gaal ameongea na wanahabari kwa mara ya kwanza leo, akisema kuwa klabu hicho cha Old Trafford ni kikubwa duniani isipokuwa inabidi wajipeleleze upya kufuatia kuboronga katika msimu uliopita.
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...

 

9 years ago

MillardAyo

Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Mexico anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Javier ‘Chicharito’ Hernandez, December 31 amerudi tena katika headlines za soka, baada ya mafanikio yake kuzidi kuonekana. Chicharito amerudi kwenye headlines baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Kufuatia kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi, hii inatafsirika […]

The post Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …...

 

9 years ago

Bongo5

Kocha wa Man United, Louis Van Gaal anaamini Chris Smalling anafaa kuwa nahodha

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amemtaja mlinzi wa kati wa timu yake, Chris Smalling kuwa baadaye anaweza kuja kuwa nahodha baada ya Rooney na Carrick kumaliza. Van Gaal ameyasema hayo huku zikiwa zimebakia siku kadhaa tu kuelekea mchezo wa ‘Manchester Derby’ kati ya Manchester United na Manchester City Jumapili hii. Hadi sasa Smalling […]

 

11 years ago

GPL

LOUIS VAN GAAL KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED

Kocha mpya wa Manchester United, Louis van Gaal. KOCHA wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Louis van Gaal ndiye kocha mpya wa Manchester United. Gaal ataiongoza timu hiyo kwa miaka mitatu baada ya Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Aliyekuwa kocha wa muda wa timu hiyo, Ryan Giggs ndiye atakuwa msaidizi wake. Klabu ya Manchester United imethibitisha taarifa hizi kupitia ukurasa wake wa Facebook hivi punde. ...

 

11 years ago

GPL

VAN GAAL AENDELEZA FURAHA MAN UNITED

Shinji Kagawa (kushoto), Darren Fletcher (katikati) na Tom Cleverley (kulia), wakishangilia baada ya kuifunga Inter Milan kwa penalti 5 -3. Fletcher na David De Gea wakishangilia kwa pamoja.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Man United: van Gaal ''mimi si kiziwi''

Mkufunzi wa Manchester United Louis van Gaal amefichua kuwa anatambua mashabiki wa klabu hiyo hawajafurahia mbinu zake.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Gaal: Man United bado sana

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amekiri kuwa mwanzo umekuwa mgumu kwake msimu huu hasa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Burnley.

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal meneja mpya wa Man United

Louis van Gaal ndiye meneja mpya wa Manchester United

 

11 years ago

Mwananchi

Van Gaal aanza kwa kishindo Man United

Van Gaal alitumia mtindo ule ule ulimsaidia kuifikisha Uholanzi katika hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani