VAN GAAL AENDELEZA FURAHA MAN UNITED
![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtEs*GhvFmBY5lm8ryu23B62MvUBoTEZMcXTdU2Zem3ith5jWuBlWfqcuqKUA3n64pio36hcSO8xyeutAlA7mETR/MANUTD4.jpg)
Shinji Kagawa (kushoto), Darren Fletcher (katikati) na Tom Cleverley (kulia), wakishangilia baada ya kuifunga Inter Milan kwa penalti 5 -3. Fletcher na David De Gea wakishangilia kwa pamoja.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Van Gaal: Man United bado sana
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Man United: van Gaal ''mimi si kiziwi''
11 years ago
BBCSwahili19 May
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Van Gaal aanza kwa kishindo Man United
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United
Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...
9 years ago
Bongo506 Nov
Van Gaal najua mashabuki wa Man United hawa furahii mbinu zangu
![Louis van Gaal](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Louis-van-Gaal-009-300x194.jpg)
Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema kuwa anatambua mashabiki wa klabu hiyo hawafurahii mbinu zangu nazo tumia.
Va Gaal alisema kuwa ushindi wao dhidi ya CSKA Moscow ulileta tabasamu Old Trafford.
Baada ya uamuzi wa kocha huyo kumuondoa Anthoy Martial na badala yake kuingia Fellaini mechi ikiwa 0-0 ulishtumiwa vikali huku mashabiki wakionyesha hisia zao kwa kumzomea.
Rooney aliipa United goli la ushindi kunako dakika ya 79.
“Mimi si kiziwi. Naelewa maoni ya mashabiki lakini...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League
Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).
Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
9 years ago
Bongo530 Oct
Paul Scholes: Nisingeweza kucheza Man United, kwa mfumo wa Louis van Gaal
![scholes-615580](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/scholes-615580-94x94.jpg)