Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League

louis-van-gaal-press-conference-1423235043

Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).

Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Man City wana nafasi nzuri ya kushinda debi

Louis van Gaal amesema Manchester City ndio walio kwenye nafasi nzuri ya kushinda debi ya Jumapili, licha ya mechi hiyo kuchezewa Old Trafford.

 

9 years ago

MillardAyo

Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi yake …

Headlines za makocha mbalimbali wa Ligi Kuu Uingereza kufukuzwa zinaendelea kushika kasi ambapo hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia Kocha wa Swansea City Garry Monk akifukuzwa na Jose Mourinho akifukuzwa kuifundisha Chelsea. Stori za mitandaoni za hivi karibuni ni zile zinazomzungumzia Kocha wa Manchester United Louis van Gaal na hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya timu yake kuendelea […]

The post Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal meneja mpya wa Man United

Louis van Gaal ndiye meneja mpya wa Manchester United

 

9 years ago

BBCSwahili

Man United: van Gaal ''mimi si kiziwi''

Mkufunzi wa Manchester United Louis van Gaal amefichua kuwa anatambua mashabiki wa klabu hiyo hawajafurahia mbinu zake.

 

11 years ago

Mwananchi

Van Gaal: Man United bado sana

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amekiri kuwa mwanzo umekuwa mgumu kwake msimu huu hasa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Burnley.

 

11 years ago

GPL

VAN GAAL AENDELEZA FURAHA MAN UNITED

Shinji Kagawa (kushoto), Darren Fletcher (katikati) na Tom Cleverley (kulia), wakishangilia baada ya kuifunga Inter Milan kwa penalti 5 -3. Fletcher na David De Gea wakishangilia kwa pamoja.…

 

11 years ago

Mwananchi

Van Gaal aanza kwa kishindo Man United

Van Gaal alitumia mtindo ule ule ulimsaidia kuifikisha Uholanzi katika hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

5 years ago

Manchester Evening News

Louis van Gaal gave damning verdict on Manchester United after Europa League clash

Louis van Gaal gave damning verdict on Manchester United after Europa League clash  Manchester Evening NewsEvra reveals how he convinced Solskjaer to give Williams a chance at Man Utd  Goal.comClub Brugge 1-1 Manchester United: Fans unhappy with Solksjaer’s comments  Sportslens.comRobin van Persie: 'Bruno Fernandes Is A Joy To Watch'  BlameFootballPhoto - Inter Striker Lukaku Becomes First Player In 15 Years To Score In 6 Straight Europa League Games  SempreInterView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United

Wayne-Rooney

Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani