Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal: Man City wana nafasi nzuri ya kushinda debi

Louis van Gaal amesema Manchester City ndio walio kwenye nafasi nzuri ya kushinda debi ya Jumapili, licha ya mechi hiyo kuchezewa Old Trafford.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League

louis-van-gaal-press-conference-1423235043

Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).

Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...

 

9 years ago

MillardAyo

Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi yake …

Headlines za makocha mbalimbali wa Ligi Kuu Uingereza kufukuzwa zinaendelea kushika kasi ambapo hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia Kocha wa Swansea City Garry Monk akifukuzwa na Jose Mourinho akifukuzwa kuifundisha Chelsea. Stori za mitandaoni za hivi karibuni ni zile zinazomzungumzia Kocha wa Manchester United Louis van Gaal na hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya timu yake kuendelea […]

The post Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tunataka kushinda ligi

Manchester United bado ina matumaini ya kushinda ligi ya Uingereza msimu huu.

 

9 years ago

MillardAyo

Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]

The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal apania kushinda taji la premia

Kocha mpya wa Man utd van Gaal analenga kutwaa kombe la ligi msimu ujao

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji

Meneja wa Manchester United amesema kwamba hana haja ya kuimarisha washambuliaji wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Man U haina mshambuliaji mzuri

Kilabu ya Manchester United haiwezi kushinda taji la ligi kwa kuwa haina mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao 20 kwa msimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Gaal: Man United bado sana

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amekiri kuwa mwanzo umekuwa mgumu kwake msimu huu hasa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Burnley.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal aamini Man Utd watajinasua

Louis van Gaal amesema Manchester United wanaweza wakaimarika lakini lazima waboreshe uchezaji wao mara moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani