Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal:Tunataka kushinda ligi

Manchester United bado ina matumaini ya kushinda ligi ya Uingereza msimu huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal apania kushinda taji la premia

Kocha mpya wa Man utd van Gaal analenga kutwaa kombe la ligi msimu ujao

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Man City wana nafasi nzuri ya kushinda debi

Louis van Gaal amesema Manchester City ndio walio kwenye nafasi nzuri ya kushinda debi ya Jumapili, licha ya mechi hiyo kuchezewa Old Trafford.

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League

louis-van-gaal-press-conference-1423235043

Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).

Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutanyakua ubingwa wa ligi

Ushindi wa kilabu ya Manchester United dhidi ya Southampton ni dhihirisho tosha kwamba kilabu hiyo inaweza kunyakuwa taji la ligi kuu,amesema mkufunzi wake Louis Van Gaal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

9 years ago

BBCSwahili

Moyes : Van gaal apewe muda

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes ameitaka klabu hiyo kumpa muda kocha wa sasa wa kikosi hicho Louis van Gaal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani