Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali si sikivu wala adilifu

UKIANGALIA jinsi Tanzania inavyotawaliwa utagundua kuwa serikali inafanya mambo bila kujali hali ya baadaye ya nchi na kwa kiasi kikubwa wananchi wake. Kwa ufupi, serikali si sikivu wala haina uadilifu....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali sikivu isikie hili la Kura ya Maoni

Kama kuna muujiza ambao Watanzania wanasubiri kwa hamu kuona ukitokea ni kupigia Kura ya Maoni kuridhia au kukaa Katiba Inayopendekezwa ifikapo Aprili 30.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yetu sikivu ijibu maswali haya muhimu

Napenda niikumbushe serikali kwamba kuna maswali ilipewa na viongozi wa kanisa, yaani, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), Machi mwaka jana, lakini hadi leo bado haijatoa majibu sahihi ya maswali hayo mbali na kusema “uchunguzi bado unaendelea”.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI HAITATAIFISHA SHULE WALA HOSPITALI - WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali haitataifisha shule, zahanati, hospitali wala Vyuo Vikuu vinavyoendeshwa na taasisi za kidini na amewahimiza wajenge zaidi na zaidi ili kuisaidia jamii kubwa ya Watanzania.
Ametoa wito huo wakati akizungumza na walimu, wazazi na wahitimu wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Magnificat iliyoko Sanya Juu, wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.
Waziri Mkuu ambaye aliwasili Sanya Juu jana asubuhi (Jumamosi, Septemba 20, 2014) akitokea Dodoma, alisema huko...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala

Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. KAMANI: Wafugaji watarajie sikio sikivu

DK. Titus Kamani, ni Waziri mpya wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambaye amerithi mikoba ya Dk. Mathayo David aliyeng’olewa kwa shinikizo la Bunge kutokana na kutowajibika ipasavyo wakati wa...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI

Rais Dk. Magufuli akizungumza leoKULU, Chato.
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.

“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...

 

11 years ago

GPL

...WALA KICHAPO

Stori::Denis Mtima na Chande Abdallah Kichapo! Jamaa wawili wanaotuhumiwa kuwa wezi, nusura wauawe kwa kuchomwa moto na raia wenye hasira kali baada ya kula kichapo ‘hevi’ kwa msala wa kukwapua mkoba wa mrembo aliyekuwa ndani ya Bajaj. Kijana ambaye hakufahamika jina lake mapema amejikuta kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua mkoba kwenye bajaji Katika tukio hilo lililojiri maeneo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani