Dkt. John Pombe Magufuli ahaadi kupambana na wezi wala rushwa, wabadhilifu na wazembe katika serikali yake.
![](http://img.youtube.com/vi/PaDXs1f33g8/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ODBTnGXtB2s/VNPQEItdzmI/AAAAAAAHCIM/hCtxTko3_0k/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DKT JOHN POMBE MAGUFULI AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ODBTnGXtB2s/VNPQEItdzmI/AAAAAAAHCIM/hCtxTko3_0k/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KvJStVFi__E/VNPQE_ArfUI/AAAAAAAHCIY/17WBscQ876s/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-x75xOaMBF5Q/Vj3TPusUU3I/AAAAAAAIEyw/xARPYaoRtuU/s640/k1.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKUTANA NA MAKATIBU WAKU WA SERIKALI LEO IKULU
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-445jNRmaLQ/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YLJaIL1X1DE/Vit8I_kEZLI/AAAAAAADBa0/cCGud-DAZQQ/s72-c/_MG_9616.jpg)
DKT JAKAYA KIKWETE NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAWASILI JIJINI MWANZA MCHANA HUU KUHITIMISHA SHUGHULI ZA KAMPENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YLJaIL1X1DE/Vit8I_kEZLI/AAAAAAADBa0/cCGud-DAZQQ/s640/_MG_9616.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xjg1B9W2y4U/Vit8VmFR28I/AAAAAAADBa8/15bUI61vpHw/s640/_MG_9625.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais ni Dkt. John Pombe Magufuli
Ni muda mfupi uliopita baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rasmi Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.John Pombe Magufuli aliyepata 58.46% dhidi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa 39.97%.
Modewji blog inatoa pongezi kwa Mgombea mweza Mama Samia Suluhu Hassan kwa ushindi huo.
Happy Birthday to you…. Mheshimiwa Rais uwe na siku njema ikiwa leo pia unasheherekea siku...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKAZI WA WFP APONGEZA UAMUZI WA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI WA KUTOWEKA ZUIO LA KUTOKA NJE (LOCKDOWN) KATIKA KIPINDI CHA MAPAMBANO YA UGONJWA WA COVID 19
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brig. Jen. Wilbert A. Ibuge na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford wakisalimiana mara baada ya kukutana kwa mazungumzo jijini Dodoma
Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford ametembelea vikundi vya wakulima vinavyofadhiliwa na miradi ya Shirika hilo Kibaigwa mkoani Dodoma. Lengo la ziara hiyo ilikuwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12196141_1352402261440855_4065294366996546731_n.jpg)
HAPPY BIRTHDAY DKT. JOHN POMBE MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/b4qV2T8aleY/default.jpg)