Vullu: Epusheni siasa mijadala ya Katiba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Zainabu Vullu, amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuacha kuingiza siasa wakati wa kujadili rasimu ya katiba mpya na badala yake wajikite kujadili masuala yaliyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma
Januari 29, mwaka huu, Bunge la Jamhuri ya Muungano lilijadili hoja ya dharura iliyowasilishwa na Mbunge wa kuteuliwa James Mbatia, kuhusu tukio la askari polisi kumpiga Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mjumbe ataka mijadala ya Katiba ‘izingatie hoja, si watu’ [VIDEO]
Wajumbe wa Bunge Maalum wameaswa wajadili hoja zilizomo kwenye rasimu iliyowasilishwa Bungeni hapa, badala ya kujadili watu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s72-c/1.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAHIMIZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUHUDHURIA VIKAO NA KUSHIRIKI KATIKA MIJADALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HAfjXo5Hic/U_WFF0w84vI/AAAAAAAAQI4/d19-3IMbvII/s1600/1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema,Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
11 years ago
Michuzi27 Mar
Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.
Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CMohjODs2t4/XlO-4ydtyDI/AAAAAAALfFA/l9KeABpSPr8FibtI0RRBx1YjxG6-dC5CwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200220-WA0025.jpg)
VULLU AKABIDHI VIFAA TIBA KIKONGO
MWAMVUA MWINYI, PWANIMBUNGE wa Viti Maalumu Mkoani Pwani Zaynab Vullu, amekabidhi vifaa tiba katika zahanati za Kikongo na Disunyara, Kibaha Vijijini lengo ni kuwapunguzia changamoto wagonjwa wanaopatiwa tiba kwenye zahanati hizo.
Akizungumza kwenye zahanati ya Kikongo kabla ya kukabidhi vifaa hivyo ikiwemo mashuka, vipomo vya presha, sukari, apron za kuvaa kifuani na mipira ya kitanda ya kuzuia shuka zisichafuke, Vulu amesema kuwa kwa uchache wake ameamua kufika hapo kukabidhi vifaa tiba...
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMohjODs2t4/XlO-4ydtyDI/AAAAAAALfFA/l9KeABpSPr8FibtI0RRBx1YjxG6-dC5CwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0025.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rUFsiZjf2-g/U8f0GPv79eI/AAAAAAAF3HY/Q3pSclwBj_I/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Zainab Matitu Vullu aipiga jeki hospitali ya wilaya ya Kisarawe
![](http://4.bp.blogspot.com/-rUFsiZjf2-g/U8f0GPv79eI/AAAAAAAF3HY/Q3pSclwBj_I/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1bDq1kz2ck/U8f0GmkJiGI/AAAAAAAF3Hc/nnyD61IRO6s/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Rf-HO1qBdtc/VTdSvNxhoEI/AAAAAAABMLs/ZaVGb9A_zqA/s72-c/unnamed.jpg)
TAMKO LA WANAWAKE NA KATIBA KWA VIONGOZI WA SIASA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rf-HO1qBdtc/VTdSvNxhoEI/AAAAAAABMLs/ZaVGb9A_zqA/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Mar
RC Dodoma alia na siasa za majitaka dhidi ya katiba
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amepiga marufuku siasa chafu zinazoendeshwa mkoani hapa ambapo wananchi wamekuwa wakihamasishwa kutoipigia kura Katiba inayopendekezwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania