Rais azindua jengo la halmashauri la bil 2/-
RAIS Jakaya Kikwete jana amezindua Jengo la ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Kilindi lililogharimu zaidi ya Sh bilioni mbili hadi kukamilika kwake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxldKMDeHAFj0Bua3eCVal51fDcoWjyJkKUIaW4JwS*JIPxwQsOxUkgicKDGCBiByLq9r6Y4caozTTq3H0-De2cp/12036945_1054195471265784_901197484293267345_n.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KISASA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboRais Kikwete azindua jengo la Kitega Uchumi la NSSF Moshi
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Rais Kikwete azindua rasmi Jengo la kisasa la biashara Kilimanjaro
Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Moshi, mkoani Kilimanjaro jana. Kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudencia kabaka. (Na Mpigapicha Wetu).
![Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii mjini Moshi Kilimanjaro jana. Wengine ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (kushoto kwa Rais), Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhan Dau (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Kilimajaro, Bw. Leonidas Gama.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Utwpe-2.jpg)
Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii mjini Moshi Kilimanjaro jana. Wengine ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-f71TFIlItZ8/VhEHMUEwTPI/AAAAAAAH8uw/G44m2lsdqk8/s72-c/IMGS0722.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KUHIFADHI MADAWA LA HOSPITALI CCBRT JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-f71TFIlItZ8/VhEHMUEwTPI/AAAAAAAH8uw/G44m2lsdqk8/s640/IMGS0722.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RPIqhcZTdTQ/VhEHMIX22WI/AAAAAAAH8uo/9Pdyx4AWyBI/s640/IMGS0725.jpg)
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA TTCL, AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA STENDI BARIADI
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
Rais Kikwete Azindua Jengo la Kuhifadhia Madawa la Hospitali ya CCBRT jijini Dar Ijumaa Oktoba 3, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-f71TFIlItZ8/VhEHMUEwTPI/AAAAAAAH8uw/G44m2lsdqk8/s640/IMGS0722.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RPIqhcZTdTQ/VhEHMIX22WI/AAAAAAAH8uo/9Pdyx4AWyBI/s640/IMGS0725.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1E1FIFdI_ks/VhEHSoPB1AI/AAAAAAAH8v8/tUJzhgX2-W4/s72-c/IMGS0761.jpg)
Rais Kikwete Azindua Jengo la Kuhifadhia Madawa la Hospitali ya CCBRT jijini Dar es salaam Ijumaa Oktoba 3, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-1E1FIFdI_ks/VhEHSoPB1AI/AAAAAAAH8v8/tUJzhgX2-W4/s640/IMGS0761.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mqskao4w8Fw/VhEHjD7xTVI/AAAAAAAH8zE/2eIj-qMFd9I/s640/IMGS0886.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1CJBgA7QzcI/VhEHjXT_w-I/AAAAAAAH8zM/ysH1NqfZtPY/s640/IMGS0891.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UzhWvX0pE6U/VhEHpKwzxgI/AAAAAAAH80c/60Ftx_tiGRc/s640/IMGS0960.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vmrFlUpmAu4/default.jpg)
SIMU TV: Rais Kikwete Azindua Jengo la Kuhifadhia Madawa la Hospitali ya CCBRT jijini Dar es salaam, na habari zingine
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aonya wasimamizi wa uchaguzi mkoani humo kuzingatia na kufuata sheria katika zoezi la kupiga kura kuepusha vurugu.https://youtu.be/E4PqPs6h9uY
Mgombea uraisi wa Zanzibar Dr.Shein aahidi kupandisha bei ya zao la karafuu endapo atachaguliwa ili kuinua kipato cha wakulima. https://youtu.be/hlUp7Y0XU1c
Mgombea mwenza wa uraisi aahidi kutatua na kuondoa migogoro ya ardhi mkoani Simiyu kufuatia kukithiri kwa migogoro mkoani humo. https://youtu.be/AA3y7T9r0kk
Raisi...