Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-

DSC05520

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya  lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.

DSC05514

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Ikungi yakusanya zaidi ya shilingi billion 2 ndani ya miezi 3 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato

DSC01586

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Celestine Yunde, akizungumza kwenye kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kulia ni makwamu mwenyekiti, Ali Mwanga na wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ikungi,Hassan Tanti na anayefuatia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri wilaya Ikungi, Mahammud Nkya.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

HALMASHAURI ya wilaya ya Ikungi mkoani Singida, imekusanya mapato ya zaidi ya shilingi 2.9 bilioni kutoka vyanzo vyake mbalimbali vya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF yakusanya bil. 516/-

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umepata mafanikio kwa mwaka wa fedha 2013 kwa kukusanya sh bilioni 516.5. Akizungumzia utendaji wa mfuko huo katika mkutano mkuu wa tatu...

 

10 years ago

Habarileo

Harambee ya Amref yakusanya bil. 1.9/-

HARAMBEE ya mfuko wa kampeni ya ‘Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika’, iliyoongozwa na Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal juzi, imewezeshakupatikanaSh bilioni 1.9, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh bilioni moja lililowekwa na Shirika linalojihusisha na masuala ya afya la Amref.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi Benjamin Mkapa yakusanya bil. 1/-

TAASISI ya Benjamini Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) imekusanya zaidi ya Sh bilioni 1.3 ikiwa ni fedha taslimu pamoja na ahadi katika harambee iliyofanyika jijini hapa kwa ajili ya mradi wa kuimarisha huduma za afya.

 

5 years ago

CCM Blog

SINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alhaji Juma Kilimba, akizungumza kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 43 ya chama hicho yaliyofanyika kimkoa Wilaya ya Singida Vijijini hivi karibuni. Wengine ni viongozi mbalimbali wa chama hicho na Serilikali na Wabunge. KWA PICHA ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 43 YA CCM >> BOFYA HAPA

Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...

 

11 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kuongeza mapato

MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idrissa Muslim Hija amewataka watendaji wa Serikali ya Mkoa wa Kusini, ikiwemo Halmashauri za miji, kuongeza mapato kwa ajili ya kutekeleza miradi waliyojipangia.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya atuhumiwa kuikosesha mapato TCRA Sh6.8 bil

Raia wa Kenya, Nelson Rading Onyango amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka saba, likiwamo la kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila ya kuwa na leseni na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya Sh6.8 bilioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Halmashauri ziondoe usiri kwenye mapato’

HALMASHAURI za wilaya nchini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zimetakiwa kuondoa usiri kwenye mapato wanayokusanya hasa katika kodi za majengo. Wito huo ulitolewa mjini hapa juzi na Makamu Mwenyekiti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri yakosa mapato ushuru wa mabasi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, limeiagiza  halmashauri hiyo kuanza kukusanya ushuru wa mapato ya mabasi ya abiria. Hatua hiyo inakuja baada ya halmashauri hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani