Halmashauri zatakiwa kuongeza mapato
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idrissa Muslim Hija amewataka watendaji wa Serikali ya Mkoa wa Kusini, ikiwemo Halmashauri za miji, kuongeza mapato kwa ajili ya kutekeleza miradi waliyojipangia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ct1TgjtkAmE/VYEjFXsJ_gI/AAAAAAAHgUQ/p5rdz54UzXI/s72-c/CDF%2B1.jpeg)
HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUBUNI VYANZO ZAIDI VYA MAPATO YA NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ct1TgjtkAmE/VYEjFXsJ_gI/AAAAAAAHgUQ/p5rdz54UzXI/s640/CDF%2B1.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tXJ3-lp5wWI/VYEjFka7mYI/AAAAAAAHgUU/yxT9tPoaBQA/s640/CDF%2B2.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fv30-s9R-HI/U-HahGhJWyI/AAAAAAAF9e0/p2UF2a_EJvg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Halmashauri zote nchini zatakiwa kutenga asilimia 5 ya mapato kwa ajili ya shughuli za vijana
Hayo yamesemwa jana ( leo) Mkoani Dodoma Wilaya ya Nchemba na Afisa Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi. Amina Sanga katika mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kuhusu mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Bi. Amina alisema kuwa vijana ndiyo...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Halmashauri zatakiwa kununua tingatinga
SERIKALI imesisitiza haja ya halmashauri zote nchini kununua tingatinga kupunguza gharama za kutengeneza barabara zake kwa kutumia zabuni hata katika masuala madogo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Halmashauri zatakiwa kununua mashine za matofali
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amezitaka halmashauri zote nchini kutenga fedha za kununua mashine za matofali yanayofungana (Tanzania Interlocking Bricks Machine), kwa ajili ya kupunguza tatizo la ajira katika halmashauri zao....
10 years ago
Habarileo15 Mar
Halmashauri zatakiwa kuunda kamati za nishati
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Idanda wilayani Chato mkoani Geita huku akiwataka viongozi wa halmashauri nchini kuunda kamati za nishati.
9 years ago
Habarileo20 Oct
Halmashauri zatakiwa kutafuta vyanzo vipya
HALMASHAURI za wilaya zimetakiwa kujipanga upya na kutafuta vyanzo vingine vya mapato, kwani wakiingia madarakani watafuta ushuru na kodi zote zinazowakera wananchi, hasa wale wafanyabiashara wadogo.
11 years ago
Michuzi26 Jun
HALMASHAURI ZATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MIRADI YA MAENDELEO
![IMG-20140625-WA0044](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/WHf-mX2nP8ipkmLPYSvtkUgzFrjg48ijpw-7RyfoOWbnW03yhwDkdaAPFrH1KZUtxaFK5crKIX96S9Rg1XrDDr4OcJmEfouRXZwPg58nr8aRLRXblKnKX44DoBz5Em0Xn8XfKWI1cspK=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0044.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140625-WA0045-1](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mukhUczLw4bVt9ZYmXz3WqpYGdDNM4RmmzVcS03_97uOC-H2xsIy0u35wo_DZff5n_14N1TfaG63XaGAePqS8kFv1kpqZIVRqlQJG6esBcJklsYQqaqJ-s2HpWpwI-XBRPuZKuryWybChHg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0045-1.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140625-WA0040](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/8PgvOtfLnBQcfcQISFUw0xBxB-lJfGXxjlHPYSSy7_e3Xu7NC6ZLwgoerxS9GkuNsAe3abBkdrhgWSG316gHyIUkuJ_LXqC3zCLoR0mL8gx3Mh4oE104PMCv0_Tpg1Rk96vN6sPMbyht=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0040.jpg?w=627&h=470)
HALMASHAURI mbalimbali nchini kwa kushirikiana na wananchi...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Halmashauri zatakiwa kutenga bajeti damu salama
SERIKALI imezitaka kila halmashauri nchini kuhakikisha kuwa inatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya damu ili kuwezesha wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo kuipata na kuepusha kupoteza maisha ya watu hususan wajawazito na watu walioathirika na ajali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wn6ZAlqBrLg/XuG9dY0jGxI/AAAAAAAEHlo/5P2FdmhTBTAKT5zn7yFd8HztbdmfckmWQCLcBGAsYHQ/s72-c/3-10-768x448.jpg)
HALMASHAURI ZATAKIWA KUWA NA OPERESHENI MAALUM YA UPIMAJI ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wn6ZAlqBrLg/XuG9dY0jGxI/AAAAAAAEHlo/5P2FdmhTBTAKT5zn7yFd8HztbdmfckmWQCLcBGAsYHQ/s640/3-10-768x448.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akishangaa utunzaji Nyaraka na Majalada ya Ardhi kwenye ofisi za Ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoa wa Mara alipokuwa katika ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-8.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akitoka kwenye Ofisi za Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Tarime alipokuwa katika ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani Mara jana.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10