Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri zatakiwa kutafuta vyanzo vipya

HALMASHAURI za wilaya zimetakiwa kujipanga upya na kutafuta vyanzo vingine vya mapato, kwani wakiingia madarakani watafuta ushuru na kodi zote zinazowakera wananchi, hasa wale wafanyabiashara wadogo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUBUNI VYANZO ZAIDI VYA MAPATO YA NDANI

 Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa(UN)Alvaro Rodriguez ambaye alikua mgeni rasmi katika Kongamano la upatikanaji wa fedha za ndani za maendeleo akitoa hotuba yake kwa washiriki  kutoka Halmashauri za wilaya nchini lililofanyika leo jijini Arusha. Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa(UN)Alvaro Rodriguez ambaye alikua mgeni rasmi katika Kongamano la upatikanaji wa fedha za ndani za maendeleo akitoa hotuba yake kwa washiriki  kutoka Halmashauri za wilaya nchini lililofanyika leo jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Washauri kutafutwa vyanzo vipya vya fedha

Wajumbe wa Baraza la Wakilishi wameishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutafuta vyazo vyake vya fedha vitakavyoondoa utegemezi wa wahisani uliopo.

 

11 years ago

Mwananchi

Vyanzo vipya mapato vyakwamisha Muswada wa Sheria ya Fedha 2014

>Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2014 umekwama kuwasilishwa bungeni jana kwa kutokana na Serikali kushindwa kueleza vyanzo vipya vya mapato badala yake kung’ang’ania ushuru katika soda, bia, sigara na pombe kali.

 

11 years ago

Michuzi

HOSPITALI ZATAKIWA ZITUMIE VYANZO VINGINE VYA KUNUNUA DAWA

Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii  Dkt. Kebwe Kebwe amewataka viongozi wa halmashauri kushirikiana na waganga wakuu kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na Serikali kupitia Bohara Kuu ya Dawa MSD vinatumika ipasavyo.

Dkt. Kebwe alisema hayo jana wilayani Masasi Mkoani Mtwara katika ziara ya kwanza toka uteuzi wake kutoka kwa Rais Kikwete wakati akiwa na kamati ya kudumu ya Bunge  huduma za jamii kukagua taratibu za usambazaji dawa vituo na hospitali za...

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kununua tingatinga

 Kassim MajaliwaSERIKALI imesisitiza haja ya halmashauri zote nchini kununua tingatinga kupunguza gharama za kutengeneza barabara zake kwa kutumia zabuni hata katika masuala madogo.

 

11 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kuongeza mapato

MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idrissa Muslim Hija amewataka watendaji wa Serikali ya Mkoa wa Kusini, ikiwemo Halmashauri za miji, kuongeza mapato kwa ajili ya kutekeleza miradi waliyojipangia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri zatakiwa kununua mashine za matofali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amezitaka halmashauri zote nchini kutenga fedha za kununua mashine za matofali yanayofungana (Tanzania Interlocking Bricks Machine), kwa ajili ya kupunguza tatizo la ajira katika halmashauri zao....

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kuunda kamati za nishati

George SimbachaweneWAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Idanda wilayani Chato mkoani Geita huku akiwataka viongozi wa halmashauri nchini kuunda kamati za nishati.

 

11 years ago

Michuzi

HALMASHAURI ZATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MIRADI YA MAENDELEO

IMG-20140625-WA0044 Mkurugenzi  Mkuu wa wakala wa barabara (TANROADS) ,Injinia Patrick Mfugale akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa Arusha-Holili /TAVETA –VOI kilometa 122 pamoja na Arusha –bypass (km 42)  unaofadhiliwa na benki ya maendeleo ya Afrika (ADB)uliyofanyika  jijini Arusha IMG-20140625-WA0045-1 Mkuu wa Mkoa Arusha Magessa Mulongo akiongea katika uzinduzi huo IMG-20140625-WA0040Mwakilishi wa benki ya maendeleo ya Afrika (ADB), Injinia Patrick Musa akiongea kwenye uzinduzi huo
HALMASHAURI mbalimbali nchini kwa kushirikiana na wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani