Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOSPITALI ZATAKIWA ZITUMIE VYANZO VINGINE VYA KUNUNUA DAWA

Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii  Dkt. Kebwe Kebwe amewataka viongozi wa halmashauri kushirikiana na waganga wakuu kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na Serikali kupitia Bohara Kuu ya Dawa MSD vinatumika ipasavyo.

Dkt. Kebwe alisema hayo jana wilayani Masasi Mkoani Mtwara katika ziara ya kwanza toka uteuzi wake kutoka kwa Rais Kikwete wakati akiwa na kamati ya kudumu ya Bunge  huduma za jamii kukagua taratibu za usambazaji dawa vituo na hospitali za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nagu aagiza TIC kuanzisha vyanzo vingine vya mapato

Dk Mary NaguWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amekitaka Kituo cha Uwekezaji (TIC) kuanzisha vyanzo vingine vya mapato ili kiweze kutekeleza miradi yake kwa wakati bila kutegemea bajeti ya serikali.

 

10 years ago

Michuzi

HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUBUNI VYANZO ZAIDI VYA MAPATO YA NDANI

 Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa(UN)Alvaro Rodriguez ambaye alikua mgeni rasmi katika Kongamano la upatikanaji wa fedha za ndani za maendeleo akitoa hotuba yake kwa washiriki  kutoka Halmashauri za wilaya nchini lililofanyika leo jijini Arusha. Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa(UN)Alvaro Rodriguez ambaye alikua mgeni rasmi katika Kongamano la upatikanaji wa fedha za ndani za maendeleo akitoa hotuba yake kwa washiriki  kutoka Halmashauri za wilaya nchini lililofanyika leo jijini...

 

9 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kutafuta vyanzo vipya

HALMASHAURI za wilaya zimetakiwa kujipanga upya na kutafuta vyanzo vingine vya mapato, kwani wakiingia madarakani watafuta ushuru na kodi zote zinazowakera wananchi, hasa wale wafanyabiashara wadogo.

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri zatakiwa kununua tingatinga

 Kassim MajaliwaSERIKALI imesisitiza haja ya halmashauri zote nchini kununua tingatinga kupunguza gharama za kutengeneza barabara zake kwa kutumia zabuni hata katika masuala madogo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri zatakiwa kununua mashine za matofali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amezitaka halmashauri zote nchini kutenga fedha za kununua mashine za matofali yanayofungana (Tanzania Interlocking Bricks Machine), kwa ajili ya kupunguza tatizo la ajira katika halmashauri zao....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hospitali za Uingereza zaanza kufanyia majaribio dawa mpya

Dawa mpya iliotengenezwa na wanasayansi wa Uingereza kutibu Covid 19 inafanyiwa majaribio katika chuo kikuu cha Southampton.

 

5 years ago

Michuzi

DUKA LA DAWA HOSPITALI YA BAGAMOYO LASAIDIA UPATIKANAJI WA DAWA KIRAHISI

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniDUKA la dawa linalomilikiwa na hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, linasaidia upatikanaji dawa kirahisi kwa wagonjwa wanaofika kwa ajili ya huduma ya tiba,ambapo lilipata mkopo wa dawa za sh.milioni 50 kutoka MSD, na kufanikiwa kupata sh. milioni 36.
Duka hilo lililoanzishwa kwa mtaji wa sh.milioni 4, walianza kununua dawa muhimu na za lazima kwa wateja wa Bima.
Hayo yalielezwa na Mganga Mkuu wa wilaya (DMO) Dk. Aziz Msuya mbele ya viongozi wa halmashauri ya...

 

11 years ago

Michuzi

MADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja (mwenye suti)akiwaongoza madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Moshi kutembelea vyanzo vya maji vinavyosimamiwa na mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.  Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani