Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya atuhumiwa kuikosesha mapato TCRA Sh6.8 bil

Raia wa Kenya, Nelson Rading Onyango amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka saba, likiwamo la kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila ya kuwa na leseni na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya Sh6.8 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mkenya kortini hasara ya bil 6.8/-

RAIA wa Kenya Nelson Onyango (43) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutoa huduma ya mawasiliano ya simu za kimataifa bila kibali na kusababisha hasara ya Sh bilioni 6.8.

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-

DSC05520

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya  lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.

DSC05514

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...

 

9 years ago

StarTV

Uozo Zaidi Bandarini  Saba matatani kwa upotevu wa mapato ya Sh. Bil. 47.4

 

Jeshi la Polisi nchini linawashikilia watumishi saba kati ya 15 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania baada ya kubainika kuhusika na upotevu wa mapato ya Shilingi Bilioni 47.4  kutokana na Makontena 11,884 kutolewa bandarini bila malipo.

Pia magari 2,019 yanadaiwa kutolewa bandarini kinyemela na kusababisha upotevu wa mapato wa zaidi ya Shilingi Bilioni moja.

Mbali na makontena hayo ikumbukwe kuwa Desemba 7, mwaka huu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alibaini makontena mengine 2,431...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

11 years ago

TheCitizen

TanzaniteOne’s raises Sh6 billion for mining restart

 Richland Resources -- the parent company of TanzaniteOne Mining Ltd -- is set to restart mining at its tanzanite operations in Tanzania after exceeding the minimum it required from a placing and open offer.

 

11 years ago

Mwananchi

Sh6.8 bilioni hupotea ukataji misitu nchini

Ripoti imebaini mapato yanayokadiriwa kufikia Sh6.8 bilioni yamekuwa yakipotea kila mwaka, kutokana na ukusanyaji mdogo wa mirabaha na usimamizi mbovu wa leseni za uvunaji misitu nchini.

 

11 years ago

TheCitizen

Principal charged over Sh6 million solar deal

The principal of Arusha Accountancy Institute (AAI), Mr Johannes Monyo, was on Friday charged with abuse of his position. Mr Monyo allegedly committed the offence on September 30, 2011.

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania premier league valued at Sh6.5bn: Board

Tanzania Premier League Board (TPLB) has said they have managed to raise the value of the Mainland League from Sh3.5 billion last season to Sh6.5 billion presently.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani