Uozo Zaidi Bandarini  Saba matatani kwa upotevu wa mapato ya Sh. Bil. 47.4
Jeshi la Polisi nchini linawashikilia watumishi saba kati ya 15 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania baada ya kubainika kuhusika na upotevu wa mapato ya Shilingi Bilioni 47.4 kutokana na Makontena 11,884 kutolewa bandarini bila malipo.
Pia magari 2,019 yanadaiwa kutolewa bandarini kinyemela na kusababisha upotevu wa mapato wa zaidi ya Shilingi Bilioni moja.
Mbali na makontena hayo ikumbukwe kuwa Desemba 7, mwaka huu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alibaini makontena mengine 2,431...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OrT7_vcdnlM/VoJ6PoavlkI/AAAAAAAIPMA/NEJFsBODF00/s72-c/mabarawa-dec19-2013.jpg)
WAFANYAKAZI SABA WA TPA MBARONI KWA UPOTEVU WA MAKONTENA MPYA 11,884 NA MAGARI 2,019... WANANE WATOROKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OrT7_vcdnlM/VoJ6PoavlkI/AAAAAAAIPMA/NEJFsBODF00/s640/mabarawa-dec19-2013.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Upotevu wa mapato sasa kudhibitiwa
10 years ago
Dewji Blog04 May
Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-
Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...
9 years ago
StarTV24 Dec
Tanzania yapata hasara ya zaidi ya bil. 230 kwa mwakaÂ
Wakulima na wadau wa kilimo cha mazao yanayotumika kuzalisha mafuta ya kupikia, wamelalamikia uingizwaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara hatua inayochangia kupungua kwa soko la mafuta yanayozalishwa nchini.
Takribani asilimia 50 ya mafuta yanayotumika nchini yanatoka nje ya nchi ambapo mafuta yanayozalishwa nchini yanatajwa kutosheleza mahitaji ya soko la ndani ikiwa ni pamoja na ziada inayoweza kuuzwa nje ya nchi.
Wafanyabishara wa mazao ya mafuta...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s72-c/blatter.jpg)
SEPP BLATTER NA MAOFISA SABA WA FIFA MATATANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s400/blatter.jpg)
Rais huyo ambaye alipewa madaraka ya kuongoza Shirikisho hilo siku chache zilizopita ikiwa ni awamu ya tano, kingine kilichochukua Headlines kwa sasa ni ishu ya Sepp Blatter kufanyiwa uchunguzi na maafisa wa Marekani ili kujua kama anahusika na tuhuma za rushwa ambazo zinawahusu maafisa wengine saba wa FIFA.Hata...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Serikali yasaini Mkataba wa kukusanya zaidi ya Sh. milioni 12 kupitia mapato ya ndani kwa mwaka 2015/16
Baadhi ya viongozi na watendaji wa Wizara ya Fedha na TRA wakati wa hafla ya kusaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikaki imesainiana Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. Milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.
Mkataba huo wa makubaliano umesainiwa leo...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Mkenya atuhumiwa kuikosesha mapato TCRA Sh6.8 bil
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mwenge wazindua miradi saba ya bil.1/-
MIRADI saba yenye thamani ya sh 1,029,561,685 imezinduliwa na mbio za mwenge wa uhuru wilayani Kilombero, mwaka huu. Akizungumzia hilo mjini hapa jana, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Hassan Masala,...